Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Mkuu Steve hii sasa inazidi ndugu yangu, maana unakaa Sana halafu mbaya zaidi ukija unakuja na kamoja badala hata ungefidia fidia jamaniiii!!! Itafikia mahali Mtu anapoteza umakini katika usomaji, ni nzuri Sana ila inakatisha tamaa mkuu, nisamehe kama nimevuka mipaka ila nimelitoa moyoni mkuu kuna watu saivi nikiona story zao wala sisomi hata kurasa Moja kuogopa kuumiza nafsi yangu, ila wewe tumetoka mbali mkuu sijisikii kufika huko,
 
Mkuu Steve hii sasa inazidi ndugu yangu, maana unakaa Sana halafu mbaya zaidi ukija unakuja na kamoja badala hata ungefidia fidia jamaniiii!!! Itafikia mahali Mtu anapoteza umakini katika usomaji, ni nzuri Sana ila inakatisha tamaa mkuu, nisamehe kama nimevuka mipaka ila nimelitoa moyoni mkuu kuna watu saivi nikiona story zao wala sisomi hata kurasa Moja kuogopa kuumiza nafsi yangu, ila wewe tumetoka mbali mkuu sijisikii kufika huko,
Asante kwa kunisaidia kufikisha ujumbe ila mimi ni tofauti na wewe, ulishaona mtu anapigwa na kitu chake? Huyu Chaliangu naweza kbs kumpiga kwa simulizi yake, amenifanya teja halafu ananiacha na arosto. Yani nammnaindi kinyama.
 
Asante kwa kunisaidia kufikisha ujumbe ila mimi ni tofauti na wewe, ulishaona mtu anapigwa na kitu chake? Huyu Chaliangu naweza kbs kumpiga kwa simulizi yake, amenifanya teja halafu ananiacha na arosto. Yani nammnaindi kinyama.
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana yaan umpige tivu kwa kitu chake
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana yaan umpige tivu kwa kitu chake
Hujawahi hudhuria madisko ya kijiji enzi za ujana maji ya moto na balehe ya kwanza, mtu anajitolea radio yake, betri zake nyumbani kwao anapiga mziki ikifika muda wanafunga mziki walale, watu wanavurumisha mawe mpaka familia inapiga yowe kuomba msaada. Kesho wanaenda kununua babati mapya maana yalitoboka kwa mawe.
Sasa Tuvuu ndio anataka hivyo.
 
Hujawahi hudhuria madisko ya kijiji enzi za ujana maji ya moto na balehe ya kwanza, mtu anajitolea radio yake, betri zake nyumbani kwao anapiga mziki ikifika muda wanafunga mziki walale, watu wanavurumisha mawe mpaka familia inapiga yowe kuomba msaada. Kesho wanaenda kununua babati mapya maana yalitoboka kwa mawe.
Sasa Tuvuu ndio anataka hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu Steve Mollel uhali gani mkuu? Pole na majukumu yanayokukabili.

Nakupa pongezi kwa kazi nzuri na burudani murua utapatio wana jf na wafuasi wako wa riwaya,

Ukijaliwa kupita humu uje bhasi hata utasalimie tujue uwepo wako lakini sio kua kimya[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
duuh nahisi steve atakuwa na tatizo sio bure kwa ukimya huu.naamini atarudi akiwa imara zaidi.
 
Mkuu Steve hii sasa inazidi ndugu yangu, maana unakaa Sana halafu mbaya zaidi ukija unakuja na kamoja badala hata ungefidia fidia jamaniiii!!! Itafikia mahali Mtu anapoteza umakini katika usomaji, ni nzuri Sana ila inakatisha tamaa mkuu, nisamehe kama nimevuka mipaka ila nimelitoa moyoni mkuu kuna watu saivi nikiona story zao wala sisomi hata kurasa Moja kuogopa kuumiza nafsi yangu, ila wewe tumetoka mbali mkuu sijisikii kufika huko,
Hiyo sehemu ya "kuna watu saivi....." Pamenikumbusha mbali sana mkuu.
 
Back
Top Bottom