Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,426
Wee namuonea Jonathan huruma sasa akiwa kwnye hatari moyo unaenda putajaman acha uoga,mbona hamna hata sehemu inayotisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee namuonea Jonathan huruma sasa akiwa kwnye hatari moyo unaenda putajaman acha uoga,mbona hamna hata sehemu inayotisha
Asante kwa kunisaidia kufikisha ujumbe ila mimi ni tofauti na wewe, ulishaona mtu anapigwa na kitu chake? Huyu Chaliangu naweza kbs kumpiga kwa simulizi yake, amenifanya teja halafu ananiacha na arosto. Yani nammnaindi kinyama.Mkuu Steve hii sasa inazidi ndugu yangu, maana unakaa Sana halafu mbaya zaidi ukija unakuja na kamoja badala hata ungefidia fidia jamaniiii!!! Itafikia mahali Mtu anapoteza umakini katika usomaji, ni nzuri Sana ila inakatisha tamaa mkuu, nisamehe kama nimevuka mipaka ila nimelitoa moyoni mkuu kuna watu saivi nikiona story zao wala sisomi hata kurasa Moja kuogopa kuumiza nafsi yangu, ila wewe tumetoka mbali mkuu sijisikii kufika huko,
Arosto mbaya[emoji39] [emoji39]Bado nakuamini mkuu Steve fanya kinachostahili
SanaaarifuArosto mbaya[emoji39] [emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana yaan umpige tivu kwa kitu chakeAsante kwa kunisaidia kufikisha ujumbe ila mimi ni tofauti na wewe, ulishaona mtu anapigwa na kitu chake? Huyu Chaliangu naweza kbs kumpiga kwa simulizi yake, amenifanya teja halafu ananiacha na arosto. Yani nammnaindi kinyama.
Hujawahi hudhuria madisko ya kijiji enzi za ujana maji ya moto na balehe ya kwanza, mtu anajitolea radio yake, betri zake nyumbani kwao anapiga mziki ikifika muda wanafunga mziki walale, watu wanavurumisha mawe mpaka familia inapiga yowe kuomba msaada. Kesho wanaenda kununua babati mapya maana yalitoboka kwa mawe.[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana yaan umpige tivu kwa kitu chake
Nikuombe kitu bibi Shunie? Kitoe hichi kiprofili picha chako maana kinanivurugaga sana akili.[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana yaan umpige tivu kwa kitu chake
Acha tu kikuvuruge ili usinipigie tivu wangu [emoji3][emoji3]Nikuombe kitu bibi Shunie? Kitoe hichi kiprofili picha chako maana kinanivurugaga sana akili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hujawahi hudhuria madisko ya kijiji enzi za ujana maji ya moto na balehe ya kwanza, mtu anajitolea radio yake, betri zake nyumbani kwao anapiga mziki ikifika muda wanafunga mziki walale, watu wanavurumisha mawe mpaka familia inapiga yowe kuomba msaada. Kesho wanaenda kununua babati mapya maana yalitoboka kwa mawe.
Sasa Tuvuu ndio anataka hivyo.
Nikikiona hichi kikitu usiku lazima kinivurugie ratiba, badala ya wiki mara 3 inafika hata wiki mara 6.Acha tu kikuvuruge ili usinipigie tivu wangu [emoji3][emoji3]
We piga tu hata mara 10 kwa weekNikikiona hichi kikitu usiku lazima kinivurugie ratiba, badala ya wiki mara 3 inafika hata wiki mara 6.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We piga tu hata mara 10 kwa week
Hiyo sehemu ya "kuna watu saivi....." Pamenikumbusha mbali sana mkuu.Mkuu Steve hii sasa inazidi ndugu yangu, maana unakaa Sana halafu mbaya zaidi ukija unakuja na kamoja badala hata ungefidia fidia jamaniiii!!! Itafikia mahali Mtu anapoteza umakini katika usomaji, ni nzuri Sana ila inakatisha tamaa mkuu, nisamehe kama nimevuka mipaka ila nimelitoa moyoni mkuu kuna watu saivi nikiona story zao wala sisomi hata kurasa Moja kuogopa kuumiza nafsi yangu, ila wewe tumetoka mbali mkuu sijisikii kufika huko,