Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 949
- 2,038
Naona Umetoa ya Moyoni😁😁 pole yalio kukuta, siyo wote wapo ni wachache tu. Kuhusu huruma hapo ni uongo mbona mpo wengi sana na wengi wenu mnajiuza Sasa nijitilishe huruma gani na wakat Hadi wa Buku jero wapo nakula ukigom naenda kwa mwingine 😁😁Mnavojitilisha huruma humu utafikiri huwa mna mpango wa kuwaoa hao wanawake mnaowatongoza kumbe washenzi wakubwa, mkikataliwa mnalalamika mkikubaliwa mkawavua nguo hao wanawake mnaanza kuwatukana kuwa ni malaya tu hawana jipya, yaani ninyi viumbe nashukuru nilizijua tabia zenu mapema wasiowajua ninyi nawaonea huruma maana wanachezewa sana
Muda unamajibu mengi sanaSalaam wote!
1993/1994 nyie kina dada, mama mliozaliwa hapo shaka bila hivi sasa mna 30 years old......
Huku mtaani naona nilipo kama wanaanza kusalimia salimia hivi yaani zile dharau dharau za 2018 zimesha isha isha hivi.
Naamini na nyie mnapewa namba bila hata kuomba....😁😁
Sema sasa kuna wawili watatu pengine bado wanavuta shuka na hawajui pashakucha, nyie badilikeni haraka sana
Usiombe dada sijui mama umri ndiyo huo 30+ alafu maisha yakupige alafu upoteze mwelekeo, mvuto upotee, kama una mtoto mdogo au anaanza shule akulilie njaa plus shule daaadeki ukicheki hupati mwanaume wa kueleweka (kama nyie wadada mnavosemaga, kaka ukisikia msemo wao mwanaume mwenyewe haeleweki, wewe kaka ujue huna pesa)
Sisi tunao pitia mahusiano ya msoto hapa na pale tunajua hizi misheni zao, nyie kaka mambo safi hamuwezi jua hili, nyie mkisikia anasema haeleweki mnaeza jua ni hapigi dudu au ni chapombe si tushajua dada anamaanisha mwanaume hana chenchede 😆😆😆
Most girls of 30+ maisha yakiwapiga huwa wanatafuta mwenye anacho au kama ana mtoto yani single mother anatafuta child support.
(kwa wadada mambo safi hii haiwahusu mi nimeongelea wale wanao pitia msoto pale wanapo fika 30+ na mambo ni bila bila)......
Hao ambao ni Excluded yaani mambo safi hufa na tai shingoni, they are die with upwiru maana hawaoni Mr. Right, kazi kununua sex toys. bora na hawa maana ana uhakika wa kula na kuvaa na kulala pazuri na mengine kama usafiri ist cha kuzugia ni uhakika, peruvian hair na unywele unaa...😁😆😆 sasa hawa wenzangu na mie kina mwaju na kina nani wa kijiji gani sijui namanyere dunia yao huwa shubiri aiseee.
you guys let me informs you market ya hizi sex toys za wadada is growing big, ask for sales details utaniambia....
Tuwaombee waolewe.
Personal attacks kama kawaida yenuNaona Umetoa ya Moyoni[emoji16][emoji16] pole yalio kukuta, siyo wote wapo ni wachache tu. Kuhusu huruma hapo ni uongo mbona mpo wengi sana na wengi wenu mnajiuza Sasa nijitilishe huruma gani na wakat Hadi wa Buku jero wapo nakula ukigom naenda kwa mwingine [emoji16][emoji16]
😂 😂Basi mjitahidi comments ziwe fupfupi ili tuokoe muda..😊
[emoji23][emoji23][emoji23] Namanyere kubwa wa sehemu gani? au NtatumbilaSalaam wote!
1993/1994 nyie kina dada, mama mliozaliwa hapo shaka bila hivi sasa mna 30 years old......
Huku mtaani naona nilipo kama wanaanza kusalimia salimia hivi yaani zile dharau dharau za 2018 zimesha isha isha hivi.
Naamini na nyie mnapewa namba bila hata kuomba....[emoji16][emoji16]
Sema sasa kuna wawili watatu pengine bado wanavuta shuka na hawajui pashakucha, nyie badilikeni haraka sana
Usiombe dada sijui mama umri ndiyo huo 30+ alafu maisha yakupige alafu upoteze mwelekeo, mvuto upotee, kama una mtoto mdogo au anaanza shule akulilie njaa plus shule daaadeki ukicheki hupati mwanaume wa kueleweka (kama nyie wadada mnavosemaga, kaka ukisikia msemo wao mwanaume mwenyewe haeleweki, wewe kaka ujue huna pesa)
Sisi tunao pitia mahusiano ya msoto hapa na pale tunajua hizi misheni zao, nyie kaka mambo safi hamuwezi jua hili, nyie mkisikia anasema haeleweki mnaeza jua ni hapigi dudu au ni chapombe si tushajua dada anamaanisha mwanaume hana chenchede [emoji38][emoji38][emoji38]
Most girls of 30+ maisha yakiwapiga huwa wanatafuta mwenye anacho au kama ana mtoto yani single mother anatafuta child support.
(kwa wadada mambo safi hii haiwahusu mi nimeongelea wale wanao pitia msoto pale wanapo fika 30+ na mambo ni bila bila)......
Hao ambao ni Excluded yaani mambo safi hufa na tai shingoni, they are die with upwiru maana hawaoni Mr. Right, kazi kununua sex toys. bora na hawa maana ana uhakika wa kula na kuvaa na kulala pazuri na mengine kama usafiri ist cha kuzugia ni uhakika, peruvian hair na unywele unaa...[emoji16][emoji38][emoji38] sasa hawa wenzangu na mie kina mwaju na kina nani wa kijiji gani sijui namanyere dunia yao huwa shubiri aiseee.
you guys let me informs you market ya hizi sex toys za wadada is growing big, ask for sales details utaniambia....
Tuwaombee waolewe.
😅🤣🤣🤣🤣😂😂😂 nimecheka sana.Mkuu kuna mdada alikukataa ndio maana kila siku unampiga spana? msamehe bwana and move on, ilikuwa sio lazima akukubali wewe. Yeye kutafuta mtu wa maana hadi jua linazama hajampata ni majaliwa tu kama ambavyo mimi na wewe tunazisaka sana pesa na hatujazipata bado, sio kosa "kukosa".
Uko very bitter na si nzuri kwa afya yako.
Ntatumbila [emoji23][emoji23][emoji23] nimekaa pale kama mwezi mmoja ivi mkuu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji13][emoji13]huko huko ntatumbila
😅😅😅Law of demand bidhaa ikishakosa soko haihitajiki sokoniMnajisikiaje hiyo bidhaa kuwa na heshima pale inapokosa soko tu na siyo hata inapokuwa na soko, ukiona bidhaa inakuja kwako ikiwa imeshakosa soko ujue wewe mnunuaji huna hela na hiyo bidhaa ndio hadhi yako ukiwa na hela utainunua ikiwa mpya kipindi bado ina soko, yani badala mpambane hizo bidhaa mzipate zikiwa na soko mnashangilia eti zikishakosa soko lazima zitakuja tu kwenu kana kwamba ni sifa
Ni nani kakudanganya[emoji28][emoji28][emoji28]Law of demand bidhaa ikishakosa soko haihitajiki sokoni
Ngoja ufike 40 years hujaolewa, tuone utakuwa unamnatia nani, utaomba uolewe hata na mzoa taka taka, kalaghabaho.Nina 29 mwakani 30 na sina pressure, na bado nanata ukipishana namm utajiuliza huyu ninani kwani[emoji23]Sipo kinyonge eti nisalimie ovyo kutafuta wanaumee. Looh!!!
We utakuwa over 30 afu hujaolewa, siyo kwa povu hilo.Mnavojitilisha huruma humu utafikiri huwa mna mpango wa kuwaoa hao wanawake mnaowatongoza kumbe washenzi wakubwa, mkikataliwa mnalalamika mkikubaliwa mkawavua nguo hao wanawake mnaanza kuwatukana kuwa ni malaya tu hawana jipya, yaani ninyi viumbe nashukuru nilizijua tabia zenu mapema wasiowajua ninyi nawaonea huruma maana wanachezewa sana