Angalia alichopost Sadio Mane kuhusu Sakho, awaambia "Simba angalieni mchezaji wenu"

Angalia alichopost Sadio Mane kuhusu Sakho, awaambia "Simba angalieni mchezaji wenu"

Sadio Mane amempost sakho katika ukurasa wake wa instagram akicheza walipokuwa wamekutana nchini Senegal kwa ajili ya kujiandaa na michezo ya kimataifa


Mchezaji wa Simba sc Pape Ousmane Sakho akiwa anacheza, hata hivyo mshambuliaji wa Bayern Munich Sadio Mane ameipost picha hiyo kwenye Insta story yake na kusema “Simba sc Tanzania mmemuona mchezaji wenu amekuwa dancer”



SADIO MANE ni nani?



Sadio Mané ni mchezaji wa kulipwa wa Senegal ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Bundesliga ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Senegal. Anatambulika sana kama mmoja wa wachezaji bora zaidi duniani na miongoni mwa wachezaji wakubwa wa Kiafrika wa wakati wote, anajulikana kwa uchezaji wake wa nguvu, chenga na kasi.
 
Kipi cha ajabu kwenye kucheza? Acheni hizo
Wewe umeona Sakho kucheza, wenye upeo mkubwa wameona zaidi ambavyo hata ukijulishwa hutaelewa (maana ni kama umeingia pango lenye giza nene). Kila mtu abaki na upeo anaoufikia 🤣🤣🤣
 
Nimependa promotion techniques za Wakala wa Sakho...

Madunduka kwa kuthibitisha Udunduka wao wala hawajui kwamba hapo wanatafutiwa namna ya kupigwa na kitu kizito kichwani...

Just imagine,

-Huyo Sakho ni Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Senegal...
-Sadio Manne anafamiana vizuri sana na Sakho, hadi kum-post huwa anam-post!!

Madunduka yakiona hivyo lazima yaingie bila kufikiria mara mbili kwa sababu nyuma ya pazia watakuwa wameambiwa Newcastle na wenyewe wanamtaka Sakho. Na kwa promo hizi, it's a matter of time kabla Sakho hajawa ndie Mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi NBCPL!

Kinyume cha hapo, anatafutwa Famba mwingine wa kupigwa na kitu kizito somewhere else!! Na wakipata Famba mwenye Mkwanja MREFU ZAIDI, Sakho hataondoka hadi anamaliza mkataba wake kisha huyooo, as a Free Agent... that's what I love about West Africa-- very fraud!

Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita pale Udundukani kulikuwa na Mchezaji mmoja kutoka Liberia akiitwa William Fanbula na alikuwa amekulia kuti kavu kama labda ilivyo kwa watu kama akina Tuisila pale Yanga!

Sasa Liberia walikuwa na Mechi na Taifa Stars na enzi zile George Weah alikuwa wa moto kweli kweli pale Millan! Khee! Eti kwenye Press George Weah bila aibu akasema hata yeye Weah haingii kwa Fanbulla linapokuja suala la kutandaza ngozi!

Fanbula akaongezewa mkataba!!
 
Kesho keshokutwa msishangae kumuona Sadio ametupia jezi ya Simba akiwa huko huko kwao.

Basi kuna watu wamenuuuna [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Jezi ya Liverpool tu hawezi vaa mashabiki kuna haja ya kuelimishwa
 
Nimependa promotion techniques za Wakala wa Sakho...

Madunduka kwa kuthibitisha Udunduka wao wala hawajui kwamba hapo wanatafutiwa namna ya kupigwa na kitu kizito kichwani...

Just imagine,

-Huyo Sakho ni Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Senegal...
-Sadio Manne anafamiana vizuri sana na Sakho, hadi kum-post huwa anam-post!!

Madunduka yakiona hivyo lazima yaingie bila kufikiria mara mbili kwa sababu nyuma ya pazia watakuwa wameambiwa Newcastle na wenyewe wanamtaka Sakho. Na kwa promo hizi, it's a matter of time kabla Sakho hajawa ndie Mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi NBCPL!

Kinyume cha hapo, anatafutwa Famba mwingine wa kupigwa na kitu kizito somewhere else... that's what I love about West Africa-- very fraud!

Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita pale Udundukani kulikuwa na Mchezaji mmoja kutoka Liberia akiitwa William Fanbula na alikuwa amekulia kuti kavu kama labda ilivyo kwa watu kama akina Tuisila pale Yanga!

Sasa Liberia walikuwa na Mechi na Taifa Stars na enzi zile George Weah alikuwa wa moto kweli kweli pale Millan! Khee! Eti kwenye Press George Weah bila aibu akasema hata yeye Weah haingii kwa Fanbulla linapokuja suala la kutandaza ngozi!

Fanbula akaongezewa mkataba!!
Aliyekuambia Simba inazuia mafanikio ya mtu nani matako wewe. Kama itakuwa ni mlango wake wa kutokea mwache aende kadri Mungu atakavyomjaalia. Kwa kiwango cha Sakho na umri wake kumbania ni upunguani.
 
Haya sawa makolo mmeshatwaa taji la pili la caf la kuongelewa na Mane, now mna makombe mawili la suala la fei na hili la leo, hakika nyinyi ni next level.
 
Aliyekuambia Simba inazuia mafanikio ya mtu nani matako wewe. Kama itakuwa ni mlango wake wa kutokea mwache aende kadri Mungu atakavyomjaalia. Kwa kiwango cha Sakho na umri wake kumbania ni upunguani.
JIHESHIMU, kwa sababu kama unajifanya unazijua shari watu tunaziweza kweli kweli na wala sio hizo za kuigiza!!
 
Inakuwaje tunaojihita wa KIMATAIFA kwenye tangazo letu la kuwatakia Waislamu Ramadhani Kareem tumeweka majina ya WADHAMINI wetu?

IMG-20230323-WA0010.jpg


IMG-20230323-WA0011.jpg


Tuache ushamba.
 
Back
Top Bottom