Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Roars
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo Binamu?!Makubwa haya [emoji23]
Nimeshangaa sana.Mbaya zaidi, Wadhamini wenyewe ni Wachezeshaji wa Kamali wakati imani ambayo ipo kwenye Ramadhani yenyewe inapinga mambo ya kamali!!
Dunduka is always Dunduka!!
JIHESHIMU, kwa sababu kama unajifanya unazijua shari watu tunaziweza kweli kweli na wala sio hizo za kuigiza!!
Kama unajiweza tuendelee tu. Wewe si una haki ya kutukana wengine. Umetuita kila aina ya majina ya kipuuzi halafu umeona matako yako ni mali sanaMadunduka kwa kuthibitisha Udunduka wao wala hawajui kwamba hapo wanatafutiwa namna ya kupigwa na kitu kizito kichwani...
Nimekutukana wapi?1Kama unajiweza tuendelee tu. Wewe si una haki ya kutukana wengine. Umetuita kila aina ya majina ya kipuuzi halafu umeona matako yako ni mali sana
Huyo ni chiz.i, hachana naye.Nimekutukana wapi?1
Narudia, acha kuigiza shari wakati shari HUZIWEZI
Hii porojo itakupa unafuu wowote kwa maumivu uliyopata?Nimependa promotion techniques za Wakala wa Sakho...
Madunduka kwa kuthibitisha Udunduka wao wala hawajui kwamba hapo wanatafutiwa namna ya kupigwa na kitu kizito kichwani...
Just imagine,
-Huyo Sakho ni Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Senegal...
-Sadio Manne anafamiana vizuri sana na Sakho, hadi kum-post huwa anam-post!!
Madunduka yakiona hivyo lazima yaingie bila kufikiria mara mbili kwa sababu nyuma ya pazia watakuwa wameambiwa Newcastle na wenyewe wanamtaka Sakho. Na kwa promo hizi, it's a matter of time kabla Sakho hajawa ndie Mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi NBCPL!
Kinyume cha hapo, anatafutwa Famba mwingine wa kupigwa na kitu kizito somewhere else!! Na wakipata Famba mwenye Mkwanja MREFU ZAIDI, Sakho hataondoka hadi anamaliza mkataba wake kisha huyooo, as a Free Agent... that's what I love about West Africa-- very fraud!
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita pale Udundukani kulikuwa na Mchezaji mmoja kutoka Liberia akiitwa William Fanbula na alikuwa amekulia kuti kavu kama labda ilivyo kwa watu kama akina Tuisila pale Yanga!
Sasa Liberia walikuwa na Mechi na Taifa Stars na enzi zile George Weah alikuwa wa moto kweli kweli pale Millan! Khee! Eti kwenye Press George Weah bila aibu akasema hata yeye Weah haingii kwa Fanbulla linapokuja suala la kutandaza ngozi!
Fanbula akaongezewa mkataba!!
Yaani nimemshangaa sana...Huyo ni chiz.i, hachana naye.
Najua umenielewa sana, jiheshimu tukuheshimu. Jenga hoja bila kashfa tofauti na hapo tutaenda na wewe sawa tu. Tambua huna haki ya kutukana wengineNimekutukana wapi?1
Narudia, acha kuigiza shari wakati shari HUZIWEZI
SRIOUSLY? Maumivu gani?! Kwanza ningekuwa Kolo ndo ningepata maamuvi kwa sababu ningejua tukishindwa kuongoza mzigo, kwa promo hizi lazima atambae!Hii porojo itakupa unafuu wowote kwa maumivu uliyopata?
Narudia, acha kuigiza shari wakati HUZIWEZI! Na ungejua kuna kitu kinaitwa hoja usingeanza na matusi!!!Najua umenielewa sana, jiheshimu tukuheshimu. Jenga hoja bila kashfa tofauti na hapo tutaenda na wewe sawa tu. Tambua huna haki ya kutukana wengine
Sio "Mbombadia" [emoji23][emoji23]Utoto huu wa kiwango cha mbombadia
MamboooooMakubwa haya [emoji23]
Haya majamaa yanachukia sana mafanikio binafsi ya wachezaji, ndiomaana hata Feisal yamemtolea macho hovyo bila kujali mustakabali wake kuwa hawataki tena.Aliyekuambia Simba inazuia mafanikio ya mtu nani matako wewe. Kama itakuwa ni mlango wake wa kutokea mwache aende kadri Mungu atakavyomjaalia. Kwa kiwango cha Sakho na umri wake kumbania ni upunguani.
Ingekuwa kipindi cha viroba kingekuhusu.Wafanye mpango Ma J acheze kavideo kengine akiwa kavalia Jezi ya Uto..Kisha waitupie X Videos
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unajiweza tuendelee tu. Wewe si una haki ya kutukana wengine. Umetuita kila aina ya majina ya kipuuzi halafu umeona matako yako ni mali sana
Bora ungekaa kimya ili ufiche upumbavu wako!Haya majamaa yanachukia sana mafanikio binafsi ya wachezaji, ndiomaana hata Feisal yamemtolea macho hovyo bila kujali mustakabali wake kuwa hawataki tena.