Angalia alichopost Sadio Mane kuhusu Sakho, awaambia "Simba angalieni mchezaji wenu"

Angalia alichopost Sadio Mane kuhusu Sakho, awaambia "Simba angalieni mchezaji wenu"

Itazameni hii MBWA yani inaandika "HACHANA NAYE" halafu inajiona inaakili timamu.
We chizi kweli, mimi sio mwalimu wa kiswahili, wewe endelea kufunsiha watoto unakuja mtabdainj saa hizi badala ya kukngia baada ya muda wa kazi kuisha.
 
Narudia, acha kuigiza shari wakati HUZIWEZI! Na ungejua kuna kitu kinaitwa hoja usingeanza na matusi!!!
Mkuu kama ambavyo unamtaka asitumie lugha ya kuudhi na wewe pia acha. Binafsi siyo mpenzi wa kutumia majina kama madunduka, utopolo, makolo, nk. kwa sababu kwanza naona ni upuuzi kutumia majina hayo.

Mkere mtani wako kwa hoja nzito zenye mashiko siyo majina ya kipuuzi kama hayo. OKW BOBAN SUNZU amekujia kama wewe ulivyokuja kwa hiyo usimlaumu.
 
Inaonyesha simba ni maarufu sana mpaka sadio mane anaijua SIMBA SC
 
Kuna mchezaji wa Horoya FC baada ya mechi ya Dar alimuomba jezi ya Visit Tanzania Tshabalala, that sounds thousand words.

Vv
Sahihi.Mbali ya mambo ya uwanjani(foes not rivals)kuna maisha ya furaha,utani na maongezi ya kuijenga kesho yetu.
 
Bora ungekaa kimya ili ufiche upumbavu wako!

Bika shaka unatumia akili za nguruwe (kitimoto) kama ulivyojitanabaisha kwenye Avatar yako, vinginevyo usingeweza kunitukana ilhali sijakutukana.
 
Sasa na hili ni la kufanya mtu kununa?..Yale ya matopen yamekunja sura
 
Sasa kama mtu kawa kituko alipostowa cha kushangaza nini hapo? Hao ni raia wa nchi moja,national team moja,mm sioni cha ajabu,labda ningeshangaa kama Mesi/Christian Ronaldo/Neymar au Mbappe angempost maana ni raia wa nchi tofauti na yy.
#Tupunguze Uzuzu
 
Back
Top Bottom