Wale waliojenga jengo la tanesco kwa Tsh million 250+ huko Kyerwa na waliojenga kibanda cha mlizi kwa Tsh 11 million unaweza kuwa na kumbukizi sahihi kwamba baada ya huyo uliyemuita muheshimiwa kuzikataa kazi zao na kuagiza uchunguzi wapo jela gani au kesi zao zipo mahakama gani kwa sasa?Inaweza ikawa ni njia pia ya kuibua ubadhirifu kama upo! Sidhani kama Mhe amslifungua, ila anashukuriwa. Hivyo, mada husika inaweza toa nafasi ya ufuatiliwaji na hatua!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Salaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi.
Tumewaseti watu wapongeze, then tunawapa elfu 50 kila mmoja. Angalia Video. Majaliwa mjanja sana
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Mwaka huu huu hilo watu watauza screpa lote hiloBilioni 7 zingeweza kujenga daraja la zege, la kudumu na chenchi kubaki kwa maendeleo mengine! Hilo ni daraja la muda ambalo life span yake haitazidi miaka 25 kabla kudai matengenezo!
Kwa navyojua gharama za madaraja plus huo urefu hapo hata Kama Kuna Upigaji but sio wa kiwango hicho maana Upigaji kwenye miradi hasara ya civil works ni lazima.
Hili nalo nendeni mkalitizameSalaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi.
Tumewaseti watu wapongeze, then tunawapa elfu 50 kila mmoja. Angalia Video. Majaliwa mjanja sana
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Bei yake Ni ngapi? Kingine hili hapa uliza Bei Yale👇Na Rais anaambiwa bei hiyo na yeye anakubali tu? Hajui kusoma na hata picha haoni?! Duuuh
Daraja hili "halijajengwa" na rais dkt. Samia haya ni matunda ya mtangulizi wake. Bajeti ya kwanza ya awamu hii ndio kwaanza ipo nusu, haya yalikuwepo na kutekelezwa kabla yake, kama kuwasifu tuwasifu walioingia mkataba wa ujenzi huu.Salaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi.
Tumewaseti watu wapongeze, then tunawapa elfu 50 kila mmoja. Angalia Video. Majaliwa mjanja sana
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Akikubali sifa akubali na matokeo yake,binafsi naamini Ni gharama halisi Upigaji upo Ila sio kwa kiwango hicho..Daraja hili "halijajengwa" na rais dkt. Samia haya ni matunda ya mtangulizi wake. Bajeti ya kwanza ya awamu hii ndio kwaanza ipo nusu, haya yalikuwepo na kutekelezwa kabla yake, kama kuwasifu tuwasifu walioingia mkataba wa ujenzi huu.
pwani na kusini mwa tanzania watu wake wapo chini sana kifikra.Huku ni kwetu kwa 100%, hakuna watu wajinga na wanapigwa hela kama watu wa Rufiji wao wanajiona wanajua kila kitu. Ni watu wa hovyo sana hii jamii. Wana maisha duni sana na wana ardhi nzuri nenda ukaone maisha yao. Sasa hilo daraja wanaona kama vile wametengenezewa kitu cha maana. Baranbara zao zipo duni sana.
Nenda pale Temeke Sudan kaangalie mabasi yao ya kwenda Rufiji ni moja tu ndio roho yao basi la Akida, hawa watu wanatakiwa kupatiwa elimu ya mageuzi ya kifikra kubwa sana.
Unatoka Dar es Salaam pale Temeke mpaka kuingia Rufiji kule Mloka ni siku nzima. Huyu Mchengelwa yupo na Wabunge wa huko wapo kimya.
Hili daraja ni kituko cha mwaka. Wanasiasa hasa CCM wameshaona wakazi wa Rufiji hawafai kupewa maendeleo.
Sio suala la bei yake ni ngapi, ishu hapa ni kwamba hilo daraja la muda haliwezi likawa zaidi ya bilioni 1, basi hata imzidi ni bilioni 2, sasa hadi kufika bilioni 7 na yeye anakubali tu ni aibuBei yake Ni ngapi? Kingine hili hapa uliza Bei Yale👇
Mjinga mmja wewe hujui kitu..Sio suala la bei yake ni ngapi, ishu hapa ni kwamba hilo daraja la muda haliwezi likawa zaidi ya bilioni 1, basi hata imzidi ni bilioni 2, sasa hadi kufika bilioni 7 na yeye anakubali kama asiyeelewa chochote ni aibu
Sawa, ila mtu kuletewa IST halafu ukaambiwa bei yake milioni 100 na wewe tu unakubali inatia shaka sanaMjinga mmja wewe hujui kitu..
Hilo halijajengwa na mkandarasi ndugu, ni Tarura.., sasa Tarura watueleze pesa nani katafunaDaraja hili "halijajengwa" na rais dkt. Samia haya ni matunda ya mtangulizi wake. Bajeti ya kwanza ya awamu hii ndio kwaanza ipo nusu, haya yalikuwepo na kutekelezwa kabla yake, kama kuwasifu tuwasifu walioingia mkataba wa ujenzi huu.
Ni shida sana hawa ndugu zetu sijui hawajui maana ya maisha mazuri?! Halafu Rufiji ingeweza kuwa mlishaji mzuri sana wa mkoa wa Dar es salaam. Vijana wa kule sifa kubwa kuoa na kuolewa na kuchezwa mtu yupo tayari kutoa akiba yake yote ili kumfundisha binti kumkatia mauno mume. Unaweza kuwaza mtu yupo tayari kufanya sherehe mtoto wake akifeli shule. Elimu kule ipo chini sana. Hawa Waarabu wanaojenga misikiti watoe hamasa pia wajue na elimu dunia sio tu elimu akhera.pwani na kusini mwa tanzania watu wake wapo chini sana kifikra.
ndio sehemu ambazo ccm hujipatia kura nyingi sana wakati wa chaguzi.
Huko Tanroads ndiyo dhalim alikotajirikia kwa upigaji.Una uhakika? Unajua maana ya 62m? Kwanza kwa navyowajua TanRoads hiyo Pesa bado Ni ndogo kukamilisha huo mradi.
Hili nalo nendeni MKALITIZAMESalaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi.
Tumewaseti watu wapongeze, then tunawapa elfu 50 kila mmoja. Angalia Video. Majaliwa mjanja sana
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Hakuna hatua hapo Serikalini kabaki mwamba 1 tu nae hana nguvu sana sasa hivi wanajipigia kweupe kabisaHakuna hatua watachukia, hii ni serikali dhaifu. Usiwaze ilo…