King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
61m mkuu ,ni jipya.Mh hivi lina urefu gani?
Mbona linaonekana kama la muda/lakuhamisha (temporary)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
61m mkuu ,ni jipya.Mh hivi lina urefu gani?
Mbona linaonekana kama la muda/lakuhamisha (temporary)
Kwani waziri mkuu anasemaje
Ova
Sijaelewa shida iko wapi kwa hili daraja..Salaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi.
Tumewaseti watu wapongeze, then tunawapa elfu 50 kila mmoja. Angalia Video. Majaliwa mjanja sana
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Pesa zimepigwa wapi hapo?Mama yetu Sa100 tunakupenda ila
Punguza upole, tazama pesa za wadanganyika zinavyoliwa kizembe.
Maneno ya kutumbua au kufukuza kwann kwako hayatumiki so long haujamuonea mtu?!.
Soko la machinga pia Dodoma hali ni hiyohiyo upigaji mkubwa umefanyika.
Usipochukua hatua wananchi wanaona kama unabariki hali hiyo.
Una uhakika? Unajua maana ya 62m? Kwanza kwa navyowajua TanRoads hiyo Pesa bado Ni ndogo kukamilisha huo mradi.Ni jambo la muda tu kabla yule mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serekali au mtu mmoja kule bungeni atumie nafasi yake kuhoji kipi kilichofikisha daraja hilo kuwa hizo billions
Jinyonge tuu mzee Wala usipate shida 👇Acha Uchawa we!?
Lini ulimkuta hapo akishika Nondo!?
Hizi ni Fedha zilizotolewa Kwa ajili ya WaTanzania na pia ziko za ndani.
Hakuzitoa Kwenye familia wala mfuko wake. Acheni misifa hadi inakera!
Mambo mengine ni wajibu wa Serikali iliyoko ofisini Wala sio mtu Fulani!! Jifunze.
Thibitisha,mnayajua madaraja nyie au mnaropoka tuu?Upo wizi Mkubwa sana sana hapo
Bila miundombinu hizo Baraka zako za ardhi zitakusaidia Nini?Huyo mkandarasi yupo saiti ipi??njia ya mloka ni njia kubwa sana ila hakuna rami.
Mbunge yuko bize kuanzisha matamasha ya burudani sijui ndio hitaji kuu la wana rufiji.
Itoshe kusema rufiji imebarikiwa sana kwa aridhi nzuri na mto mkubwa inaotiririsha maji mwaka mzima.
#MaendeleoHayanaChama
Na wewe Jenga kwani umekatazwa?Eeeh! Kweli maana watu wa karibu kama akina Bashe, hatimaye wanaona fursa na kujenga vituo vya mafuta 11 kibaha hadi Chalinze.
ThibitishaHaya mambo yanakera jamani. Watu wanakula tu nchi sasa!!!
Mbona usiombe tenda kwa bil.1 ili ujenge wewe au?Bilioni 7.2? Tumepigwa tena
Hayo madaraja huwa hayaruhusu kupishana na yako mengi Sana hapa Tanzania hata njia ya Mwanza to Musoma lipoSasa hapo gari linaweza pita ,na kupishana kweli ,kama kipindi cha kupitisha wagonjwa?
Utazeeka na upumbavu wakoMbona usiombe tenda kwa bil.1 ili ujenge wewe au?
Wengi wao wapumbavu na wanaohemka achana nao.Ahsante mkuu!
Jf hii, ukiisikia habari ipokee kwa umakini kweli.......watu humu wanazusha balaa, na watu humu wanakurupuka kupokea vilivyorushwa bila kutafakari balaa. Wakiona kichwa cha habari tu wameshakimbilia kucomment lawama, kama kawaida yao.
Siajabu hata hiyo taarifa mtu hata hana, ameona daraja na kusikia bil 7 point kadhaa zikitajwa basi ameunganisha taarifa yeye mwenyewe na kuja kuwapatia haters wa mama wapate sehemu ya kujifajia.
Siwezi mzidi mama yako kwa upumbavu aliokurithishaUtazeeka na upumbavu wako
Kwenu wanabodi kuna mainjinia masaada kwa hili je hii ndio gharama na makadilio yake ya daraja? (Total cost and real estimation for construction)View attachment 2431211
View attachment 2431212
View attachment 2431213
Kwa vile mimba yako ilitungwa kwenye mikesha ya mwenge humjui babako mzazi ndiyo maana huna adabu umeishia kuwa shoga watu wanakuinamisha tu.Siwezi mzidi mama yako kwa upumbavu aliokurithisha
Hotuba Kali ndio italeta mvua ? 😜😜Wananchi wanalalama juu ta tozo, mgao wa umeme, maisha magumu na mzunguko wa.pesa uliodorola. Lakini mkuu wa kaya upo kimya. Hii ni wazi.kuwa hauna machungu na unaowatawala.
Mfano tulitegemea itolwewe hotuba kali kuonyesha unasikitika juu ya wananchi kukwama shughuli zao kutokana na mgao wa umeme huku waziri Makamba akidai kuna ziada ya Mw 1400.
Ukipigania mzunguko wa pesa uongezeke kwenye jamii maana ajira kubwa ni sekta binafsi na hao ndio wanategemea mzunguko wa kupata mlo.
Harufu ya ufisadi inazidi kutamalaki na mkuu upo kimya na haukemei hadharani. Hauna uchungu na wananchi walipa kodi.
👇🏿View attachment 2431256