Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze

Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze

Huo mstari wako wa mwisho ndo lengo la mleta mada.. ujumbe upo indirect zaidi
Hapana huyo kijana ni chawa, mbaya zaidi anajiona yupo sahihi hapo. Ni moja wa vijana wa kimkakati waliomo humu jf na sehemu nyingine kusway audience isiyojielewa.
 
Salaam wakuu,

Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.

Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.

Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.

Kazi iendelee.

Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.

Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi.

Tumewaseti watu wapongeze, then tunawapa elfu 50 kila mmoja. Angalia Video. Majaliwa mjanja sana
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Mkuu tafadhali sana kwa heshima.. Usilitaje bure jina la MUNGU!! Tafadhali sana piga siasa kivingine sifia na kuabudu kivingine but.. Usilitaje bure jina la MUNGU!!
 
Kwa kukilinda chama chetu cha mapinduzi; jumuiya zetu pamoja na sisi wanachama tunapaswa kuwa mstari wa mbele kuhoji au kukosoa pale tunapoona mambo hayako sawa. Tusiwe wapongezaji na wasifu juhudi tu, tunayo nafasi ya kuhoji pia.
Je, hili daraja lina thamani ya B. 7?
20221130_134911.jpg
 
Last wiki nilikua na zoezi moja wilaya ya rufiji..hali inatisha sana asee..barabara mbovu sana..jamii imechoka sana.

#MaendeleoHayanaChama
Kule kwetu kama unaenda utadhani upo katika hadithi za vitabuni zama.za utumwa. Sijui nini kifanyike kutoa hii jamii katika usingizi mzito. Kule sijui kupo vipi wana mali nyingi sana ardhi nzuri na misikiti imejaa utadhani ndio Waarabu wenyewe.
 
Daraja/barabara hujengwa na wakazi wa eneo husika!?..huko kupigwa kwa watu wa rufiji kunakujaje kwenye miundombinu ya serikali!?..acha chuki za kijinga na watu wa rufiji!!..ulitaka wachange wanunue mabasi mazuri zaidi ya akida!?..watu wengine huwa mmebeba nini vichwani!?
Angalia akili yako sasa. Unajua Moshi na Bukoba inajengwa na wakazi husika je wewe kama mtu wa Rufiji umejenga nini?
 
Kwa kukilinda chama chetu cha mapinduzi; jumuiya zetu pamoja na sisi wanachama tunapaswa kuwa mstari wa mbele kuhoji au kukosoa pale tunapoona mambo hayako sawa. Tusiwe wapongezaji na wasifu juhudi tu, tunayo nafasi ya kuhoji pia.
Je, hili daraja lina thamani ya B. 7?View attachment 2431644

Kwa mambo yalivyo hata kuhoji ni kupoteza muda tu. Teams zishanipanga kula, hamna kingine. Sijui tugeukie kwa nani? Jiwe aliweza weza ila nae tulikoma kwa watu kufa na kunyamazishwa.. sasa na huku tena kwenye haya ya kuhoji ndio tutakoma kabisa.
 
Kule kwetu kama unaenda utadhani upo katika hadithi za vitabuni zama.za utumwa. Sijui nini kifanyike kutoa hii jamii katika usingizi mzito. Kule sijui kupo vipi wana mali nyingi sana ardhi nzuri na misikiti imejaa utadhani ndio Waarabu wenyewe.
Eti misikiti imejaa utadhan ndio uarabun [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom