Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze

Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze

Wananchi wanalalama juu ta tozo, mgao wa umeme, maisha magumu na mzunguko wa.pesa uliodorola. Lakini mkuu wa kaya upo kimya. Hii ni wazi.kuwa hauna machungu na unaowatawala.

Mfano tulitegemea itolwewe hotuba kali kuonyesha unasikitika juu ya wananchi kukwama shughuli zao kutokana na mgao wa umeme huku waziri Makamba akidai kuna ziada ya Mw 1400.

Ukipigania mzunguko wa pesa uongezeke kwenye jamii maana ajira kubwa ni sekta binafsi na hao ndio wanategemea mzunguko wa kupata mlo.

Harufu ya ufisadi inazidi kutamalaki na mkuu upo kimya na haukemei hadharani. Hauna uchungu na wananchi walipa kodi.
👇🏿
20221130_053846.jpg
 
Bilioni 7 zingeweza kujenga daraja la zege, la kudumu na chenchi kubaki kwa maendeleo mengine! Hilo ni daraja la muda ambalo life span yake haitazidi miaka 25 kabla kudai matengenezo!
HiLi limejengwa JWTZ au maana ni kama la kagera la kuhamisha. Kwani sehemu hiyo kuna vita?
 
Ni kawaida kwa awamu hii ya sasa kwa maana hata kibanda cha mlinzi cha million 3 kinajengwa kwa million 13.
 
Mradi pekee ulianzishwa na mama na kuukamilisha. CCM HOYEEE, mchengerwa HOYEEE. B .7'HOYEEE ( in makongoro voice)

Awamu pacha na awamu ya 4 iliyo nunua ardhi iliyopaswa kuwa hekta moja 25M wao wakanunua kwa 800M. Hapo NSSF mradi wa dege daisalaam. Daraja chuma mtupu.
 
Salaam wakuu,

Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu...
Tunamshukuru mama samia kwa ujenzi wa daraja lenye thamani ya B.7 kwa kutuunganisha wananchi wake tulikuwa tunapata adha ya safari zetu
 
Aliye na taarifa rasmi ya gharama za daraja na barabara atuwekee tafadhali.
 
Mbona hata Waziri Mkuu kawapongeza tanroad kwa ubunifu huo na kwamba mavyuma hayo yameokoa mabilioni ya pesa. Hivyo tutegemee kuona madaraja mengi yakijengwa gharama hiyo ya TSh 120 million kwa kila mita moja ya urefu (7.2 billion ÷ 61 meters)...
Tuna uongozi mbovu kuanzia juu mpaka chini hakika tutasaga meno. Kwa sehemu kubwa ya raw materials za chuma tuna import kutoka nje so sitegemei bei kuwa chini sana kuliko hivyo waziri mkuu alivyodanganywa.

Nadhani ni vyema kuandaliwa report za miradi ya ujenzi kabla ya kuanza na kufanywa public ili watu wenye ujuzi wachallenge hii miradi kabla ya kuingia kichwakichwa.
 
Back
Top Bottom