Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tetea tu wenzio wameramba asali. Hili daraja ni masega tuHaya si ni Yale madaraja ya Jeshi ambayo huwa yanaweza kuhamishwa?
Nadhani taarifa hii siyo sahihi.
Waziri wa Ujenzi ni Mzanzibar na Zanzibar hakuna hata mfereji wa kujenga daraja......Salaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Mainjinia uchwara hawakosekaniBilioni 7 zingeweza kujenga daraja la zege, la kudumu na chenchi kubaki kwa maendeleo mengine! Hilo ni daraja la muda ambalo life span yake haitazidi miaka 25 kabla kudai matengenezo!
Hizo ni gharama za daraja pamoja na barabara ya Mohoro- Mbuchi- Mwera, yenye urefu wa km 35 na sio daraja peke yake.Salaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Hapo imetumika milioni 200 B7 imepigwaBilioni 7.2 kwa urefu wa mita 61 tena single lane bila kuwa na pedestrian. Ni wizi mkubwa hapo tayari, mleta mada umemuharibia mama badala ya kusifu.
Mbona Zanzibar pesa hazipigwiMama yetu Sa100 tunakupenda ila
Punguza upole, tazama pesa za wadanganyika zinavyoliwa kizembe.
Maneno ya kutumbua au kufukuza kwann kwako hayatumiki so long haujamuonea mtu?!.
Soko la machinga pia Dodoma hali ni hiyohiyo upigaji mkubwa umefanyika.
Usipochukua hatua wananchi wanaona kama unabariki hali hiyo.
Wakati wa mwanzoni mwa urais wa Magufuli watu walisema Mzee wa msoga anaongoza nchi kwa remote wakati huo Magufuli hata hajaizoea vizuri Ikulu, ila baadaye sasa tukaanza kuona Magufuli akiongoza nchi yeye kama yeye na si kwa remote ya kutoka msoga na mwishowe ikaonekana Magu na Jk haziivi.Mama yetu Sa100 tunakupenda ila
Punguza upole, tazama pesa za wadanganyika zinavyoliwa kizembe.
Maneno ya kutumbua au kufukuza kwann kwako hayatumiki so long haujamuonea mtu?!.
Soko la machinga pia Dodoma hali ni hiyohiyo upigaji mkubwa umefanyika.
Usipochukua hatua wananchi wanaona kama unabariki hali hiyo.
NCHI YA WAPIGAJI HONGERA CCMSalaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Mzee rufiji sio mloka pekee...Huku ni kwetu kwa 100%, hakuna watu wajinga na wanapigwa hela kama watu wa Rufiji wao wanajiona wanajua kila kitu. Ni watu wa hovyo sana hii jamii. Wana maisha duni sana na wana ardhi nzuri nenda ukaone maisha yao. Sasa hilo daraja wanaona kama vile wametengenezewa kitu cha maana. Baranbara zao zipo duni sana.
Nenda pale Temeke Sudan kaangalie mabasi yao ya kwenda Rufiji ni moja tu ndio roho yao basi la Akida, hawa watu wanatakiwa kupatiwa elimu ya mageuzi ya kifikra kubwa sana. Unatoka Dar es Salaam pale Temeke mpaka kuingia Rufiji kule Mloka ni siku nzima. Huyu Mchengelwa yupo na Wabunge wa huko wapo kimya. Hili daraja ni kituko cha mwaka. Wanasiasa hasa CCM wameshaona wakazi wa Rufiji hawafai kupewa maendeleo.
Bilioni saba hazijafika labda kama wameongeza sifuri mbele.Salaam wakuu,
Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.
Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.
Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.
Kazi iendelee.
Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.
Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Elimu hiyo inamuhitaji kila mtanzania, usiwaonee hao wandengereko. Watanzania wote tunaburuzwaa tu, hawa watu wanatakiwa kupatiwa elimu ya mageuzi ya kifikra kubwa sana.