Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze

Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze

Salaam wakuu,

Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.

Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.

Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.

Kazi iendelee.

Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.

Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Hii taarifa hii😂😂
 
Salaam wakuu,

Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.

Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.

Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.

Kazi iendelee.

Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.

Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
CCM oyeeee !!
 
Ni jambo la muda tu kabla yule mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serekali au mtu mmoja kule bungeni atumie nafasi yake kuhoji kipi kilichofikisha daraja hilo kuwa hizo billions
 
Salaam wakuu,

Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.

Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.

Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.

Kazi iendelee.

Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.

Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614

Sarcasm at its finest!!
 
Hongera Mama, kazi iendelee...
Ila kwa fani yangu ya uhandisi kwa miaka 8 sasa bil 7 kwa hili daraja inafikirisha...
 
Mbona kama pesa hiyo ni nyingi Sana ukilinganisha na ukubwa,ubora wa Daraja lakini pia mahali ilipo wekezwa pesa hiyo????
 
Nyie endeleeni kuweka joking wakati watu wanatumbua pesa ambazo zinapaswa kujemga misingi kwa ajili ya watoto wetu, Wabongo ni watu wajinga sana, pesa zinapigwa na comment za watu unakuta ni asilimia 99 zemejaa utani tupu
Sasa watu wawatu wafanyaje? Kuna namna ya kuwazuia? Acha watu watanie tu! Inapunguza machungu
 
Halafu kesho mkiona vituo vya mafuta vinaota kama uyoga mnashangaa. Wakati mama ye anaamini amefungua nchi ndio maana watu wanafanya maendeleo.
Eeeh! Kweli maana watu wa karibu kama akina Bashe, hatimaye wanaona fursa na kujenga vituo vya mafuta 11 kibaha hadi Chalinze.
 
Salaam wakuu,

Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.

Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.

Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.

Kazi iendelee.

Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.

Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Kupitia uboreshaji wa miundombinu shughuri za usafiri na usafirishaji zimerahisishwa
 
Mzee rufiji sio mloka pekee...

Huko mloka hakuna basi moja pekee kuna tokyo takara za mpare zinaenda na kurejea dar... na stand ipo pale mbagala na sasa imeamishiwa stand mpya huko maeneo ya kijichi kama sikosei

Piq rufiji ukiqcha mloka kuna ikwiriri ambapo kuna magari kila dakika kuanzia saa kumi na moja asubuhi mpaka saa mbili usiku kwenda na kurudi dar

Pia kuna muhoro ambayo ni rufiji pia kuna magari mengi ya kwenda huko kama ilivyo ikwiriri

Rufiji makao makuu yake ni utete ambapo pia kunq magari ya kwenda huko kupitia nyamwage na magari yapo kuanzia asubuhi mpaka mchana saa tisa mwisho kutoka dar utete na utete dar

Baada ya hapo ndio kuna vijiji sasa ambayo vina pakana na hifadhi ya rubada na hifadhi zingine za tfs pamoja na nyerere ambayo zamani ilikuwa selou

Ukiachilia hayo kuna maendeleo yana pigwa sana na miradi mbalimbali ina fanyika na imefanyika huko... na kupitia mradi huu wa umeme, vijana wengi wa rufiji wamenufaika sanaaaaa

Vijana wamejenga nyumba zao kwa kupitia mradi huu... nawafahamu vijana wengi sana... nyumba za matofari sio zile zenu za miti na udongo za zama zenu

Pia rufiji ina shule za advance tofauti na kipindi chenu, na zina fanya vizuri sana... shule hizo ni utete sekondary wao wana michepuo ya sayansi kma ilivyo mkongo sekondary, kuna mohoro nq ikwiriri...

Zamani shule ilikuwa ni kibiti na ikwiriri na mkongo pekee na advance ilikuwa kibiti pekee wilaya nzima

Dar rufiji zamani ilikuwa una safiri siku tatu mpaka nne... na kabla ya daraja la mkapa basi pale ndundu ferry ilikuwa ni balaa kuvuka, na huku mkongo kwenda wilayani utete ilikuwa ni mitumbwi tu....

Watu wameliwa na mamba na viboko...!

Sasa hivi kuna kituo cha utafiti kingupira cha wanyama pori... kuna veta ina enda kukamilika, kuna lami makao makuu ambayo ni kipindi kirefu sana haikuwepo nq hiv karibuni itakuwa historia kutoka dar mpaka makao makuu ya wilaya ni lami tu bila kugusa vumbi kwa kuwa mkandarasi yupo site ana jenga kipande cha kilomita chache kwa kiwango cha lami kuunganisha nyamwage na makao makuu ya wilaya (utete)

Wewe mwenyeji wa rufiji jitahidi kuwapa elimu ndugu zetu waweze kuamka na sio kuwa laumu.... watoe huko swekeni, wasibaki kula mahindi ya malao, walime kibiashara yani kifupi wafanye kazi wapate pesa kuendesha maisha, hakuna serekali itakayo mpelekea mtu pesa ya kula pasipo kufanya kazi kwq ustawi wake na taifa
Huyo mkandarasi yupo saiti ipi??njia ya mloka ni njia kubwa sana ila hakuna rami.

Mbunge yuko bize kuanzisha matamasha ya burudani sijui ndio hitaji kuu la wana rufiji.

Itoshe kusema rufiji imebarikiwa sana kwa aridhi nzuri na mto mkubwa inaotiririsha maji mwaka mzima.

#MaendeleoHayanaChama
 
Salaam wakuu,

Ni baraka na Neema iliyoje kumpata Rais mwenye Uchungu na Mali za Umma? Hakika Mungu anatufundisha na kutuonesha Umakini wa Rais wetu Samia Suluhu. Mungu anatuonesha Uwezo wa kufuatilia mambo wa Rais samia na wakati wa kupiga kura hatutaumiza kichwa kujua ubora wake kwani tumeona Uwezo wake wa juu wa kupambana na Ufisadi. Huu ndo uwezo wake wa juu wa utendaji ambao Mungu kamjalia.

Hii imepelekea Wakazi wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi lenye urefu wa mita 61 linalounganisha kata hizo ambao umegharimu shilingi bilioni 7.2.

Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan. Hakika wewe ni kielelezo cha Wanawake.

Kazi iendelee.

Asitokee mtu akamkosoa rais kwa utendaji huu. Tumpigie makofi tu kama anavyotaka. Kama Watawala wanaafiki hi kitu inatusaidia kujua akili zao na madhumuni ya kugombania vyeo.

Hadi sasa sijajua Watanzania wana uhusiano gani na Mungu. Hadi tunapata Viongozi/Watawala wa hivi
View attachment 2430635
View attachment 2430613View attachment 2430614
Acha Uchawa we!?
Lini ulimkuta hapo akishika Nondo!?
Hizi ni Fedha zilizotolewa Kwa ajili ya WaTanzania na pia ziko za ndani.
Hakuzitoa Kwenye familia wala mfuko wake. Acheni misifa hadi inakera!
Mambo mengine ni wajibu wa Serikali iliyoko ofisini Wala sio mtu Fulani!! Jifunze.
 
Back
Top Bottom