Angalia kazi yangu kabla na baada, ikikupendeza nicheki.

Angalia kazi yangu kabla na baada, ikikupendeza nicheki.

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
5,175
Reaction score
16,488
Hii ni kazi niliyofanya, picha ni kabla ya na baada ya kufanya kazi.
Nilianza kwa kupiga ukuta plasta, nikamalizia kwa kuweka vipande vya tailiz chini.

Ukihitaji nipigie 0624254690
20250302_172709.jpg
20250302_172630.jpg
20250226_075249.jpg
 
Hajui vipande kuachia nafasi n saruji kuja kucover sehemu za Pembeni ni moja ya kuweka uimara wa vipande.
Zìkiwa nzima ndiyo zinabananishwa pamoja, sasa vipande utaviunga utaweza?
🤣🤣
Hakuna kazi hapo kunautalamu unatafuta vipande kati ya hivyo vinavyoshabiana kulingana ndo unaviunganisha ngoja nikiludi kwangu ntaweka picha hapa ili muone jinsi ilivyo huwezi ona sehemu ya cement sema jamaa ndo anajifunza iyo kazi
 
Hakuna kazi hapo kunautalamu unatafuta vipande kati ya hivyo vinavyoshabiana kulingana ndo unaviunganisha ngoja nikiludi kwangu ntaweka picha hapa ili muone jinsi ilivyo huwezi ona sehemu ya cement sema jamaa ndo anajifunza iyo kazi
Kuna mambo mengi ya kuzingatia mkuu.
Eneo linahitaji let say viroba 10 vya vipande, Boss amekuja anakwambia kuna viroba 7 tu hakikisha vinamaliza kazi.
Utalazimisha kubananisha wakati material haitoshi?

Nathamini maoni yako.
 
Hapo
Kuna mambo mengi ya kuzingatia mkuu.
Eneo linahitaji let say viroba 10 vya vipande, Boss amekuja anakwambia kuna viroba 7 tu hakikisha vinamaliza kazi.
Utalazimisha kubananisha wakati material haitoshi?

Nathamini maoni yako.
Hapo ndo umeongea point kwamba boss anafosi vipande ivyo vitoshe sehemu yote bila kujali ubora wa kazi hapo sawa maana kubananisha vinaenda vipande vingi sana
 
Back
Top Bottom