Angalia kazi yangu kabla na baada, ikikupendeza nicheki.

Angalia kazi yangu kabla na baada, ikikupendeza nicheki.

Hakuna kazi hapo kunautalamu unatafuta vipande kati ya hivyo vinavyoshabiana kulingana ndo unaviunganisha ngoja nikiludi kwangu ntaweka picha hapa ili muone jinsi ilivyo huwezi ona sehemu ya cement sema jamaa ndo anajifunza iyo kazi
Sema mafundi hawakosoani hadharani mababu, ulitakiwa umvute chemba. Hapa inaonekana kama unamsagia kunguni.
 
Ukungu wa kijani huo ni uchafu mkuu.
Sehemu isiyo fanyiwa usafi lazima itakuwa na Ukungu, refer masink ya choo.
Sink ukiliacha bila kulifanyia usafi lazima litakuwa na huo unaosema ni Ukungu.

Cha muhimu fanya usafi.
 

Attachments

  • IMG_20250304_213017.jpg
    IMG_20250304_213017.jpg
    203.6 KB · Views: 1
Sema mafundi hawakosoani hadharani mababu, ulitakiwa umvute chemba. Hapa inaonekana kama unamsagia kunguni.
Huyo siyo fundi mkuu,
Ila amelinganisha kazi ambayo imefanywa kwake (vipande kubananishwa)
Na kazi niliyofanya (vipande kuacha nafasi)
Ndiyo akatoa maoni yake.
Nathamini maoni ya kila mtu.
 
Unatakiwa ukikosolewa uchukulie postive ndo utafika mbali ukichukulia negative hutofika mbali maana utaona kama mtu hapendi hatua zako
Hakika mkuu, na mimi huwa sichukulii kama nimekosolewa,
Mimi huwa nayachukua kama maoni.
Kila mtu ana mtazamo tofauti katika kila kitu.
Tunafanya kazi na watu wengi, huyu anataka hivi, na huyu anataka vile.

Sasa ukichukulia maoni ya watu kwa ubaya, basi hauwezi kufika popote.
Pokea maoni yote, yafanyie kazi halafu endelea na safari.
 
Back
Top Bottom