chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Awamu Ile ilikwama wapi!? Au korosho ziliwajaa rohoni?
Soma pia: Uzi mkuu unaoonesha yaliyojiri kwenye mradi wa SGR tangu kuanza kwake mpaka mradi ulipofikia hivi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raha ya kuwa na Rais tajiri kwani anao uwezo wa kujenga madaraja kwa kutumia pesa zake, yule wa Zambia yeye hataki kulipwa mshahara wala posho.View attachment 2225146daraja la wami limekamilika kwa asilimia kubwa, imebaki kuweka vikorombwezo tu na nakshi nakshi, si unajua tena wamama lazima wapambe pambe kazi zao.
Kama wewe ni masalia ya ukoo wa Tomaso, unaweza kuzoomView attachment 2225151
Ya Zamani Sana, Tunapigwa Wasomi WapoHaya si ya mwaka 1970s
Haa Wasomi Hawana Msaada WowoteDuh hayo mabehewa ya zamani sana wanayapiga rangi tu.
Uzi juu ya uziView attachment 2225146daraja la wami limekamilika kwa asilimia kubwa, imebaki kuweka vikorombwezo tu na nakshi nakshi, si unajua tena wamama lazima wapambe pambe kazi zao.
Kama wewe ni masalia ya ukoo wa Tomaso, unaweza kuzoomView attachment 2225151
Ya Zamani Sana, Tunapigwa Wasomi Wapo
Magufuli anastahili sifa zake za kuchapa kazi kwa bidii, kutekeleza na usimamizi wa uhakika kwenye hiyo miradi.Whose brain work is that ? Au unafikiri ni Samia ndiye aliyeleta wazo la kuanzisha hiyo miradi Tanzania?
Acheni wizi wa idea za mtu, Magu(RIP) alianzisha hiyo miradi yote, halafu mnataka kupora idea na kazi za Magu mseme ni Samia kafanya huku mkitegemea Mungu awabariki?
Huo ni wizi hauna baraka, ndo maana hamkubaliki kwa Watanzania na haijalishi mnafanya nini, kwani Watanzania wanajua SGR, Flyovers, Meli, Mradi wa MW zaidi 2000 Rufiji, Mwendokasi, Bara bara ya mijini Tanzania nzima, Shirika la Ndege, ni brain work ya Magu!
Hapa reli zote zinaletewa Mabehewa, SGR na Meter Gauge, waambie wazazi wako waendelee kurina asali pale tabora na kukusanya maziwa, yanafika Dsm hayajagandaView attachment 2225219
mimi nadhani vinakuja vitu vizuri kama hivyo kumbe mnaleta scraper za miaka ya 70s!
Yale hayajakamilika, Tulia uone kazi ya SSHKabisa🤣 Treni za sasa za Umeme zipo hivi
View attachment 2225233
View attachment 2225234
View attachment 2225235
View attachment 2225236
View attachment 2225237