Angalia picha: Mabehewa ya treni za SGR yanatengenezwa, barabara zinajengwa, meli, madaraja, na mishahara inaongezwa

Angalia picha: Mabehewa ya treni za SGR yanatengenezwa, barabara zinajengwa, meli, madaraja, na mishahara inaongezwa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Screenshot_20220515-085046.jpg
20220515_085051.jpg
Balozi akikagua Mabehewa ya SGR, miradi inaendelea, na watumishi wanaangaliwa maslahi.

Awamu Ile ilikwama wapi!? Au korosho ziliwajaa rohoni?

Soma pia: Uzi mkuu unaoonesha yaliyojiri kwenye mradi wa SGR tangu kuanza kwake mpaka mradi ulipofikia hivi sasa
 
View attachment 2225146daraja la wami limekamilika kwa asilimia kubwa, imebaki kuweka vikorombwezo tu na nakshi nakshi, si unajua tena wamama lazima wapambe pambe kazi zao.
Kama wewe ni masalia ya ukoo wa Tomaso, unaweza kuzoomView attachment 2225151
Raha ya kuwa na Rais tajiri kwani anao uwezo wa kujenga madaraja kwa kutumia pesa zake, yule wa Zambia yeye hataki kulipwa mshahara wala posho.
 
Whose brain work is that ? Au unafikiri ni Samia ndiye aliyeleta wazo la kuanzisha hiyo miradi Tanzania?

Acheni wizi wa idea za mtu, Magu(RIP) alianzisha hiyo miradi yote, halafu mnataka kupora idea na kazi za Magu mseme ni Samia kafanya huku mkitegemea Mungu awabariki?
Huo ni wizi hauna baraka, ndo maana hamkubaliki kwa Watanzania na haijalishi mnafanya nini, kwani Watanzania wanajua SGR, Flyovers, Meli, Mradi wa MW zaidi 2000 Rufiji, Mwendokasi, Bara bara ya mijini Tanzania nzima, Shirika la Ndege, ni brain work ya Magu!
 
Whose brain work is that ? Au unafikiri ni Samia ndiye aliyeleta wazo la kuanzisha hiyo miradi Tanzania?

Acheni wizi wa idea za mtu, Magu(RIP) alianzisha hiyo miradi yote, halafu mnataka kupora idea na kazi za Magu mseme ni Samia kafanya huku mkitegemea Mungu awabariki?
Huo ni wizi hauna baraka, ndo maana hamkubaliki kwa Watanzania na haijalishi mnafanya nini, kwani Watanzania wanajua SGR, Flyovers, Meli, Mradi wa MW zaidi 2000 Rufiji, Mwendokasi, Bara bara ya mijini Tanzania nzima, Shirika la Ndege, ni brain work ya Magu!
Magufuli anastahili sifa zake za kuchapa kazi kwa bidii, kutekeleza na usimamizi wa uhakika kwenye hiyo miradi.
Hata hivyo, idea za miradi hiyo zilikuwepo na mingine tangu awamu ya kwanza.
 
Back
Top Bottom