Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Ni kweli JK alianzisha SGR na kuna 1KM rail ilijengwa maeneo ya Pwani! Alipokuja Aliekuja kwanza alimtia Segerea jamaa aliewaleta Wawekezaji wa hii mnayoiita SGR ya sasa na hapo ndo madudu yalipoanza! Natafuta picha yake ntaiweka hapa soon
Kampuni? Kwa maana mradi wa SGR kwa reli ya kati atleast ni mkubwa huwezi kuanza kuujenga halafu kusiwe na records popote, huu mradi wa Billions of US dollars!