Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2225219
mimi nadhani vinakuja vitu vizuri kama hivyo kumbe mnaleta scraper za miaka ya 70s!
Hayo itakuwa yanafanyiwa rehabilitation naona mwonekano wa zamaniView attachment 2225133View attachment 2225135Balozi akikagua Mabehewa ya SGR, miradi inaendelea, na watumishi wanaangaliwa maslahi.
Awamu Ile ilikwama wapi!? Au korosho ziliwajaa rohoni?
Jiwe asingetuletea hayo yamwaka 47 watu wanachakachua inchi hii[emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2225133View attachment 2225135Balozi akikagua Mabehewa ya SGR, miradi inaendelea, na watumishi wanaangaliwa maslahi.
Awamu Ile ilikwama wapi!? Au korosho ziliwajaa rohoni?
Kuongeza mishahara sio hisani. Ni takwa la kisheria.View attachment 2225133View attachment 2225135Balozi akikagua Mabehewa ya SGR, miradi inaendelea, na watumishi wanaangaliwa maslahi.
Awamu Ile ilikwama wapi!? Au korosho ziliwajaa rohoni?
Inaelekea umepata akili wakati wa maguWhose brain work is that ? Au unafikiri ni Samia ndiye aliyeleta wazo la kuanzisha hiyo miradi Tanzania?
Acheni wizi wa idea za mtu, Magu(RIP) alianzisha hiyo miradi yote, halafu mnataka kupora idea na kazi za Magu mseme ni Samia kafanya huku mkitegemea Mungu awabariki?
Huo ni wizi hauna baraka, ndo maana hamkubaliki kwa Watanzania na haijalishi mnafanya nini, kwani Watanzania wanajua SGR, Flyovers, Meli, Mradi wa MW zaidi 2000 Rufiji, Mwendokasi, Bara bara ya mijini Tanzania nzima, Shirika la Ndege, ni brain work ya Magu!
Kama ipi iliyokuwepo tangia awamu ya kwanza ukiondoa Bwawa la maji ?
Kama ni hivyo tumsifie Kikwete na sio MagufuliWhose brain work is that ? Au unafikiri ni Samia ndiye aliyeleta wazo la kuanzisha hiyo miradi Tanzania?
Acheni wizi wa idea za mtu, Magu(RIP) alianzisha hiyo miradi yote, halafu mnataka kupora idea na kazi za Magu mseme ni Samia kafanya huku mkitegemea Mungu awabariki?
Huo ni wizi hauna baraka, ndo maana hamkubaliki kwa Watanzania na haijalishi mnafanya nini, kwani Watanzania wanajua SGR, Flyovers, Meli, Mradi wa MW zaidi 2000 Rufiji, Mwendokasi, Bara bara ya mijini Tanzania nzima, Shirika la Ndege, ni brain work ya Magu!
Watawadanganya watoto waliozaliwa leo..ila tunajua na tunafahamu wanatembelea reli ya jpm.Whose brain work is that ? Au unafikiri ni Samia ndiye aliyeleta wazo la kuanzisha hiyo miradi Tanzania?
Acheni wizi wa idea za mtu, Magu(RIP) alianzisha hiyo miradi yote, halafu mnataka kupora idea na kazi za Magu mseme ni Samia kafanya huku mkitegemea Mungu awabariki?
Huo ni wizi hauna baraka, ndo maana hamkubaliki kwa Watanzania na haijalishi mnafanya nini, kwani Watanzania wanajua SGR, Flyovers, Meli, Mradi wa MW zaidi 2000 Rufiji, Mwendokasi, Bara bara ya mijini Tanzania nzima, Shirika la Ndege, ni brain work ya Magu!
Shukrani zote ziiendee Awamu ya Tano chink ya Jiwe Magufuli kwa "kuthubutu" kuanzisha miradi mikubwa ya kimkakati. Miradi yako inajitambulisha. Ya kwao pamoja na kupigiwa promo ya kufa mtu kama Royal Tour, bado wanaona aibu kuitangaza.View attachment 2225133View attachment 2225135Balozi akikagua Mabehewa ya SGR, miradi inaendelea, na watumishi wanaangaliwa maslahi.
Awamu Ile ilikwama wapi!? Au korosho ziliwajaa rohoni?
HujaelewekaNdege mbona kama za Mabeberu??? Yaani nna pesa nisinunue kitu kizuri bora na madhubuti kisa Mwafrika?? Ubongo wako unatatizo pole sana😭. Hizi Behewa ni za 1945 huko full stop! Tuache kujitinganisha sijui na Kenya bra bra! Hapa kila kitu ohoo Kenya ni ghari Mafuta kuliko sisi- wakati shillingi moja ya Kenya na Shillingi ya Tz ni vitu viwili tofauti.
Kila kitu hatuaKabisa Mkuu tulitegemea vitu kama hivi ! Wanaleta Treni za Hitra alafu wanatulazimisha tukubali
View attachment 2225345
View attachment 2225346
View attachment 2225347