Ni kweli JK alianzisha SGR na kuna 1KM rail ilijengwa maeneo ya Pwani! Alipokuja Aliekuja kwanza alimtia Segerea jamaa aliewaleta Wawekezaji wa hii mnayoiita SGR ya sasa na hapo ndo madudu yalipoanza! Natafuta picha yake ntaiweka hapa soon
Tulio Wengi Imani, Matumaini Yetu Tele Yalikuwa Tuone Chombo Hicho Kikitua Tanzania, Lakini Ajabu Tunaletewa Gusi La Hovyo Yaani La Uwimbombo Na UlindiView attachment 2225219
mimi nadhani vinakuja vitu vizuri kama hivyo kumbe mnaleta scraper za miaka ya 70s!
Ntakuwekea pia picha ya 1KM iliyojengwa na JK ambapo ndo ilitakiwa ianzie hapo kwenda mikoaniKampuni? Kwa maana mradi wa SGR kwa reli ya kati atleast ni mkubwa huwezi kuanza kuujenga halafu kusiwe na records popote, huu mradi wa Billions of US dollars!
Kabisa Mkuu tulitegemea vitu kama hivi ! Wanaleta Treni za Hitra alafu wanatulazimisha tukubaliTulio Wengi Imani, Matumaini Yetu Tele Yalikuwa Tuone Chombo Hicho Kikitua Tanzania, Lakini Ajabu Tunaletewa Gusi La Hovyo Yaani La Uwimbombo Na Ulindi
Ntakuwekea pia picha ya 1KM iliyojengwa na JK ambapo ndo ilitakiwa ianzie hapo kwenda mikoani
View attachment 2225344
Mkapa alianzisha wazo JK alianza kujenga.Lkn Habari inasema ni Mkapa “aliyetaka“ kujenga kama nimeelewa sawa sawa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2225219
mimi nadhani vinakuja vitu vizuri kama hivyo kumbe mnaleta scraper za miaka ya 70s!
Mkapa alianzisha wazo JK alianza kujenga.
Asante sana kwa kutujulisha,wananchi.View attachment 2225146daraja la wami limekamilika kwa asilimia kubwa, imebaki kuweka vikorombwezo tu na nakshi nakshi, si unajua tena wamama lazima wapambe pambe kazi zao.
Kama wewe ni masalia ya ukoo wa Tomaso, unaweza kuzoomView attachment 2225151
Tabora Tena? Kigali mmeghairiHapa reli zote zinaletewa Mabehewa, SGR na Meter Gauge, waambie wazazi wako waendelee kurina asali pale tabora na kukusanya maziwa, yanafika Dsm hayajaganda
Hili daraja litaisha lini? Lilianza kujengwa lini?View attachment 2225146daraja la wami limekamilika kwa asilimia kubwa, imebaki kuweka vikorombwezo tu na nakshi nakshi, si unajua tena wamama lazima wapambe pambe kazi zao.
Kama wewe ni masalia ya ukoo wa Tomaso, unaweza kuzoomView attachment 2225151
Yakiunganishwa ndio yanakuwa ya kisasaView attachment 2225133View attachment 2225135Balozi akikagua Mabehewa ya SGR, miradi inaendelea, na watumishi wanaangaliwa maslahi.
Awamu Ile ilikwama wapi!? Au korosho ziliwajaa rohoni?
Ongea machache bro.sio kila king'aacho ni dhahabuchinembe Kwanza haya ni Mazito sana so Umeme mwingi unatumika kuvuta mabehewa! Pia Design yake sio energy efficient kwani Technology yake ya Mfumo wa umeme na Motor zake ni old tena sana so no efficiency !
Duniani No Moja Bigwa wa kutengeneza reli na Train za Umeme ni https://twitter.com/CRRC_global?ref_src=twsrc^google|twcamp^serp|twgr^author . Ambae Mwenda zake alimkataa (akijua anawakomowa kina mwafulani) kumbe anajiingiza kwenye matatizo. Hapa kwenye SGR tumepigwa tena na Kitu kizito na Chenye ncha kali
Kampuni gani iliyoshinda tenda ya kujenga SGR wakati wa Kikwete ? Kwa maana mradi mkubwa namna hiyo wa billions of dollars huwezi kuniambia hakuna mahali unapoweza kuonyesha Kampuni iliyojenga na kama Mkataba ulivunjwa ni lazima ingekuwa ishu kubwa hata Bungeni ungeongelewa na tungeshitakiwa.
Mfano leo inajulikana wanaojenga SGR ni Kampuni ya Yapi Merkezi kwa Dar-Moro atleast na records ziko wazi.
Sasa hiyo Kampuni ya wakati wa awamu ya 4 iliyojenga SGR ni ipi ? Na Mkataba uvunjwe tu hivi hivi bila ya chochote kutokea?
huyo balozi wa Zambia jina lake nani vile?Hili jina halinibariki hakuna uwezekano wa kulibadili !.
Tuliwahi kumkataa Balozi wa Zambia kwakuwa jina lake lilikuwa na ukakasi.
Nakubaliana na wewe ulichoandika hapa.Hahaha eti Kikwete alitaja sana, hata Uraisi pia kila mtu anautaja sana, kwa kuwa tu unataja kitu haimaanishi kwamba unaweza na una uwezo wa kukifanya, kila mtu alitaja kuhamia Dodoma lkn hawakufanya hivyo ukiondoa Mkapa (RIP) ambaye alihamishia Bunge Dodoma ( Big step and Big up to him) aliyemfwata hakufanya kitu na Magu akahamishia Mji Mkuu Dodoma na hata Bunge kupitisha officially kwamba Mji mkuu wa Tanzania sasa ni Dodoma!
Eti! Ya zamani!View attachment 2225219
mimi nadhani vinakuja vitu vizuri kama hivyo kumbe mnaleta scraper za miaka ya 70s!
Hata mimi naona kama yamekaa kizamani zamani vile....!!Haya si ya mwaka 1970s
chinembe inabidi uongezewe posho..hii kazi unayofanya sio ya kitoto.View attachment 2225146daraja la wami limekamilika kwa asilimia kubwa, imebaki kuweka vikorombwezo tu na nakshi nakshi, si unajua tena wamama lazima wapambe pambe kazi zao.
Kama wewe ni masalia ya ukoo wa Tomaso, unaweza kuzoomView attachment 2225151