Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

Niliposoma kichwa cha habari nikajua mi nyoka mi anaconda.
Sijaamini nilichokiona dah! Kuna nchi ni balaa.
Vitu vimenyooka kisawasawa.
 
Wenzetu wanajua kutumia taaluma zao siyo kama Huku kusifu hata upuuzi.kule ukijulikana unasifu kiongozi Kwa unafiki kama chawa wa hapa tz unapigwa Shaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…