Angalia uwezo wa Samsung Galaxy S22 Ultra

Angalia uwezo wa Samsung Galaxy S22 Ultra

Mkuu hizo Camera za Tecno nyengine zinajaza tu namba hapo, mfano hio Qvga camera ni 0.3MP haina kazi yoyote ipo tu kuonesha simu ina camera nyingi. Same kwa Macro na Depth kwenye Nokia.

So Hapo Tecno ni kama ina Camera moja tu na hio Nokia kama ina Camera 2 tu.

Kwenye Main sensor ngumu kujua hapo mpaka uone reviews, Gsmarena haja review simu zote mbili, na sifahamu site inayo review ambayo nitapata data za simu zote mbili.

Pia kama ni mpenzi wa camera zipo simu nzuri zaidi
Thanks Chief nina bajeti ya 550,000 so nahitaji simu yenye camera yenye uangalau wa kupata vijipicha vizuri.
 
Thanks Chief nina bajeti ya 550,000 so nahitaji simu yenye camera yenye uangalau wa kupata vijipicha vizuri.
Redmi note 10 pro, hii utapata kirahisi huku kwetu.

Sema kama priority ni camera kuliko vitu vyote tafuta Simu used flagship za 2020 simu kama LG V60, Oneplus 8, S20, etc utapata Camera nzuri kushinda midrange za sasa. Ila kama unavyojua simu used zinaweza kuja na Matatizo mengine.

Pia kuna midrange zenye camera nzuri incase unataka mpya ila hizi budget itabidi iongezeke kidogo, Simu kama Samsung Galaxy A52s, Realme 9 pro ama pro+ 5G, redmi note 11 pro+ etc.
 
Mkuu hizo Camera za Tecno nyengine zinajaza tu namba hapo, mfano hio Qvga camera ni 0.3MP haina kazi yoyote ipo tu kuonesha simu ina camera nyingi. Same kwa Macro na Depth kwenye Nokia.

So Hapo Tecno ni kama ina Camera moja tu na hio Nokia kama ina Camera 2 tu.

Kwenye Main sensor ngumu kujua hapo mpaka uone reviews, Gsmarena haja review simu zote mbili, na sifahamu site inayo review ambayo nitapata data za simu zote mbili.

Pia kama ni mpenzi wa camera zipo simu nzuri zaidi
Nenda hii site.(nanoreview)

Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
 
1. Watu wananunua kwa hela zao hawapewi bure wana kila haki ya kushabikia na kununua kitu wanachokipenda

2. Ni mjinga peke yake anaefikiri kwamba sababu sehemu fulani wanatengeneza simu basi watu wote nao watengeneze simu.

3. Kutengeneza simu sio Ujanja wengi wanaotengeza simu wana Mishahara mibovu, kuna watu wanaotengeneza simu wanalipwa hela mbovu kuliko walimu Tanzania.

Wanaopiga hela ama kuuza Hizo simu ni wale Wenye mitaji kama ilivyo sehemu yoyote duniani, Simu ni Biashara kama unga wa Ngano, Tambi, Nyama, Ving'amuzi etc

Mwenye mtaji anatengenenza anauza.
Kwel kabsa kuna interview. Moja ya mchina aliyeshiriki katika projeect ya iphone 6s Alisema walikuwa wanalipwa dola 400 kwa mwezi
 
Wasukuma mnapenda sana makamera.

Mtu akiwa na katekno chake anaita kijiji kizima kije kipige nae picha!

Fanya kazi KIJANA ... watu wanatengeneza pesa kupitia ujinga wenu wa kushabikia small teknologies....

Mikamera tu kutwa kuchwa upo whatsapp unapiga mapicha huku watu wanatengeneza pesa.

Hapa nakuamsha tu kutoka usingizini, you should thank me!

Nikiwa Rais nitawatandika viboko kweli kweli...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haya rais ujae
 
Redmi note 10 pro, hii utapata kirahisi huku kwetu.

Sema kama priority ni camera kuliko vitu vyote tafuta Simu used flagship za 2020 simu kama LG V60, Oneplus 8, S20, etc utapata Camera nzuri kushinda midrange za sasa. Ila kama unavyojua simu used zinaweza kuja na Matatizo mengine.

Pia kuna midrange zenye camera nzuri incase unataka mpya ila hizi budget itabidi iongezeke kidogo, Simu kama Samsung Galaxy A52s, Realme 9 pro ama pro+ 5G, redmi note 11 pro+ etc.
nina samsung a71 quntium 5g vipi camera yake ubora na samsung note 10???naomba kuuliza chief mkwawa??maana nataka kubadili simu!!!
 
Back
Top Bottom