Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Mi huwa naagiza Kwa njia ya meli mkuu inachukua maximum 1.5 month , ukiagiza Kwa ndege ni sku Saba tuu unapata mzigo , Ila gharama ni 50000 kila smu, Kwa meli usafr ni chini tuu kama 2000mda gani itachukua?..