Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,117
- 1,403
Redmi 10c mashine ninayo hapa [emoji91]Inategemea na model, na Honor ni Kama xiaomi tu zipo mpaka laki 2 na laki 3 ila haimaanishi ukinunua honor ya laki 3 itaizidi redmi 10C uzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Redmi 10c mashine ninayo hapa [emoji91]Inategemea na model, na Honor ni Kama xiaomi tu zipo mpaka laki 2 na laki 3 ila haimaanishi ukinunua honor ya laki 3 itaizidi redmi 10C uzuri.
Wow.. what a brilliant answer.1. Watu wananunua kwa hela zao hawapewi bure wana kila haki ya kushabikia na kununua kitu wanachokipenda
2. Ni mjinga peke yake anaefikiri kwamba sababu sehemu fulani wanatengeneza simu basi watu wote nao watengeneze simu.
3. Kutengeneza simu sio Ujanja wengi wanaotengeza simu wana Mishahara mibovu, kuna watu wanaotengeneza simu wanalipwa hela mbovu kuliko walimu Tanzania.
Wanaopiga hela ama kuuza Hizo simu ni wale Wenye mitaji kama ilivyo sehemu yoyote duniani, Simu ni Biashara kama unga wa Ngano, Tambi, Nyama, Ving'amuzi etc
Mwenye mtaji anatengenenza anauza.
Pixel inayokaa na chaji ni 5A.4a VIP kwenye ukaaji WA chaji na 3a XL nikioata zile za mtumba