Uchaguzi 2020 Angalizo: Kumdhibiti Godbless kunahitaji " timing" vinginevyo watatumbuliwa watendaji wote wa Arusha!

Uchaguzi 2020 Angalizo: Kumdhibiti Godbless kunahitaji " timing" vinginevyo watatumbuliwa watendaji wote wa Arusha!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Si kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.

Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa.

Watu kuja kushuhudia ufunguzi wa miradi inabidi wahamasishwe na wanasiasa wa CCM siyo watendaji au wataalamu.

Ni angalizo tu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Haya ndio madhara ya kufanya kazi kwa miongozo ya akina Polepole , utaratibu wa kufanya kazi umeandikwa lakini mnatunga ujinga ili kupambana na Lema , hamtafanikiwa na mtadhalilika vibaya sana !
 
Hivi CCM kuna kiongozi aliyepatikana bila rushwa?
Maana ingekua kweli hawapendi rushwa tungesikia watu wamefungwa jela miaka kadhaa,lakini kila wakati wa uchaguzi rushwa ni kwa kwenda mbele.

Nadhani wangenyama tu kwasasa maana rushwa kwao ni nyumbani
 
Kiukweli Arusha hawashtuki kabisa na hayo mambo. Lema angewaita wangemwagika kama siafu na nyuki. Kuita wananchi ni kazi ya Mkurugenzi wa hilo jiji anashirikisha wataalam wake wa kata ambao hufikia wananchi huko kijijini na mitaa. Aisee udhalilishaji huu.
 
Haya ndio madhara ya kufanya kazi kwa miongozo ya akina Polepole , utaratibu wa kufanya kazi umeandikwa lakini mnatunga ujinga ili kupambana na Lema , hamtafanikiwa na mtadhalilika vibaya sana !
Lema anatakiwa kuingizwa " force king"
 
Haya ndio madhara ya kufanya kazi kwa miongozo ya akina Polepole , utaratibu wa kufanya kazi umeandikwa lakini mnatunga ujinga ili kupambana na Lema , hamtafanikiwa na mtadhalilika vibaya sana !
Lema ni hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamani
 
Si kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.

Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa...
Kama kuna siku Jafo kaniudhi ni siku ya leo kumdhalilisha baba wa watu hadharani
 
Si kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.

Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa...

Tuwe wakweli tu Magu anataka Lema, Msigwa (ndugu), Prof J washinde. Wanaofikiri Magu hawapendi hawa kuweni chonjo sana. Hakuwahi kuwasema hawa vibaya hata siku moja.

Sugu hampendi lakini pale pamekuwa pagumu. Mkuu wa mkoa wa Mbeya alifuta wazo la kwenda kugombea kwa Msigwa kwa sababu hii. Yaani Lema angeenda CCM angepewa uwaziri haraka sana.
 
lema ni mpuuz tu hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamani
We mwenyew mhuni....brain left side feeling
 
Back
Top Bottom