Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Jafo kajidhalilisha mwenyewe,meneja hana kosa hata kidogo.Kama kuna siku Jafo kaniudhi ni siku ya leo kumdhalilisha baba wa watu hadharani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jafo kajidhalilisha mwenyewe,meneja hana kosa hata kidogo.Kama kuna siku Jafo kaniudhi ni siku ya leo kumdhalilisha baba wa watu hadharani
Unaota wewe!Arusha hakuna CCM kuna wezi wa kura tu.
Mtafukuzana sana na bado. CCM ya Magufuli imekataliwa Tanganyika na Zanzibar.
Mhe, Lema atabaki kuwa juu miaka 2000✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
Si kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.
Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa.
Watu kuja kushuhudia ufunguzi wa miradi inabidi wahamasishwe na wanasiasa wa CCM siyo watendaji au wataalamu.
Ni angalizo tu.
Maendeleo hayana vyama!
Nassari ubunge ulishamshinda.Arusha ni ya Lema hata mkimuweka "Dogo Jinga" mliyemununua anapigwa za "USO" saa mbili asubuhi.
Umewashtua ndugu zako watapukutika wote wasipokuwa makini.mkuu kawatuma kawatumvua tena. Kapeleka wengine nao wameshindwa tena. Bado hawajang'amua tu.Si kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.
Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa.
Watu kuja kushuhudia ufunguzi wa miradi inabidi wahamasishwe na wanasiasa wa CCM siyo watendaji au wataalamu.
Ni angalizo tu.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa yale aliyofanya Jaffo Arusha ana tofauti gani na Uchebe wa Shilole?!Umewashtua ndugu zako watapukutika wote wasipokuwa makini.mkuu kawatuma kawatumvua tena. Kapeleka wengine nao wameshindwa tena. Bado hawajang'amua tu.
Jibu lako kibokoTatizo la Arusha...... Wahuni wanapiga kura!
Mkuu siku hizi umeacha ushabiki una andika point sna, safi kwenye ukwali tuseme ukwaliSi kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.
Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa.
Watu kuja kushuhudia ufunguzi wa miradi inabidi wahamasishwe na wanasiasa wa CCM siyo watendaji au wataalamu.
Ni angalizo tu.
Maendeleo hayana vyama!
Wana wa arusha wanataka kiongozi bora na sio bora kiongozi anayejali tumbo lake na biashara zake..muda mrefu wananchi wameteseka na sasa imetoshaLema hakusanyi kodi ficha upumbavu wako.
Yapo mengi tu, mojawapo ni hili naloenda kufanya la kutoa takataka zilizodumu kwa miaka kumi ya mateso kwa wananchiKwani wewe umefanya kipi cha maana?
kwahio barabara moja ndani ya miaka kumi..?Hajafanya chochote wakati waziri kaenda kuzindua barabara kwake?
Hoja mfu.Kwa yale aliyofanya Jaffo Arusha ana tofauti gani na Uchebe wa Shilole?!
Huyo YEHODAYA hata umtwange kwenye kinu na upumbavu, basi upumbavu utatakata pumba zote kuondoka lakini huyo atatoka vile vile alivyo.Mwana CCM wa kwanza kuongea point kwenye hii issue. Mfundishe na mwenzako Yehodaya awe na akili kidogo.
Hahahaaaa......... Mbatia hana roho mbaya kama wafuasi wake!Hoja mfu.
Wewe buku 7 unaiona ndogo?
Dr Mashinji alichangiwa na wanaccm ili asifungwe jela kama ambavyo mchango wa wanafamilia wa mchungaji Msigwa walioko CCM mchango wao ulitumika kumtoa Mbowe jela tena akiwa shambani analima!
Siasa siyo uadui!
kwahio barabara moja ndani ya miaka kumi..?
Hahahhaa hana tifauti 😁😁Kwa yale aliyofanya Jaffo Arusha ana tofauti gani na Uchebe wa Shilole?!