Uchaguzi 2020 Angalizo: Kumdhibiti Godbless kunahitaji " timing" vinginevyo watatumbuliwa watendaji wote wa Arusha!

Uchaguzi 2020 Angalizo: Kumdhibiti Godbless kunahitaji " timing" vinginevyo watatumbuliwa watendaji wote wa Arusha!

Hata Jaf
Si kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.

Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa.

Watu kuja kushuhudia ufunguzi wa miradi inabidi wahamasishwe na wanasiasa wa CCM siyo watendaji au wataalamu.

Ni angalizo tu.

Maendeleo hayana vyama!
Hata Jafo analijua hilo hata Yesu wetu wa chama analijua hilo ila changamoto iliyopo utawala huu bila kiki,kuabudu na kusifia kila wakati( as much as you can) hatima yako na mstakabali wako kisiasa unakuwa njia panda. Wewe unazani msomi Kabudi na msomi Bashiru wakiulizwa juu ya hatua aliyoichukua Jafo watasema kakosea? Nenda kamshauri chakubanga Sasa amrudishe huyo manager wa Tarula Arusha huku tukio la kumrudisha likiwa na live coverage! TUACHE KUABUDU NA KUSIFIA MPAKA TUNAHARIBU
 
Jaffo kamuonea sana huyo meneja, kwani nyie na CCM yenu mlishindwa nini kuwaita wale manamba wenu wasio na kazi na nguo zao za kijani wakakate viuno hapo barabarani?
.....hahahaha MKUU
 
Hata Jaf

Hata Jafo analijua hilo hata Yesu wetu wa chama analijua hilo ila changamoto iliyopo utawala huu bila kiki,kuabudu na kusifia kila wakati( as much as you can) hatima yako na mstakabali wako kisiasa unakuwa njia panda. Wewe unazani msomi Kabudi na msomi Bashiru wakiulizwa juu ya hatua aliyoichukua Jafo watasema kakosea? Nenda kamshauri chakubanga Sasa amrudishe huyo manager wa Tarula Arusha huku tukio la kumrudisha likiwa na live coverage! TUACHE KUABUDU NA KUSIFIA MPAKA TUNAHARIBU
 
Wana wa arusha wanataka kiongozi bora na sio bora kiongozi anayejali tumbo lake na biashara zake..muda mrefu wananchi wameteseka na sasa imetosha

Wewe ndiye unayeteseka,acha uvivu wewe chalii ,watu wanapiga mawe wanakuwa mabilionea sasa wewe bilionea gani unayeteseka na AR kila kona madini.
Aliyekufanya uteseke siyo lema ni CCM.
 
Jamaa hakutendewa haki, kaadhibiwa kwa kosa lisilo lake, kwanza watu kuja kushangilia miradi wakati wewe upo kwenye v8 wao wanashinda na njaa haiwezekani.

Pili watanzania wa sasa siyo kama wa enzi zile za kwenda kumshangilia kiongozi.
Si kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.

Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa.

Watu kuja kushuhudia ufunguzi wa miradi inabidi wahamasishwe na wanasiasa wa CCM siyo watendaji au wataalamu.

Ni angalizo tu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Si kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.

Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa.

Watu kuja kushuhudia ufunguzi wa miradi inabidi wahamasishwe na wanasiasa wa CCM siyo watendaji au wataalamu.

Ni angalizo tu.

Maendeleo hayana vyama!
Kalete wapiga vigeregere kwa maendeleo ya madaraja ya ku edit.
 
Lema ni hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamani
Mliofanya chochote mbona mnaleta wapiga vigeregere
 
....Mkuu hii habari sijaipata tupo maporini humu jamvini
Jamaa kamfuta kazi manager wa tarura Arusha. Sababu wananchi hawakuja kushangilia ufunguzi wa barabara. Kwa mawazo yake alitaka wakusanywe waje washangilie ufunguzi na wa kuwakusanya Ni manager wa tarura. Anaambiwa anahujumu utendaji wa awamu ya 5, maana haitainekana Kama imefanya kazi
 
Lema ni hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamani
Je niulize kuna mkutano aliofanya Lema bila kufatiliwa na Mapolisi??
Alipozindua ujenzi wa Hspl kwa fedha za wafadhili si mliona alivyo andamwa na Gambo mwisho wakajidai ni mradi wao.
Wana Arusha wanajua Lema anagharamia masomo zaidi ya watoto 400 wasiojiweza.
Lema alibanwa kila kona, uzuri wake wana Arusha sio mazezeta wanajua wanataka nini!!
Maendeleo bila uhuru huo ni utumwa!!
 
Lema amekomaa sana kisiasa miaka ya karibuni, ni kosa kubwa kuto litambua hilo.
Anaweza kuwa na madhaifu yake kama binadamu na ujana ulimsumbua kidogo miaka ya nyuma lakini sasa anakuwa na wisdom ile inayotokana na umri na uzoefu.
 
Je niulize kuna mkutano aliofanya Lema bila kufatiliwa na Mapolisi??
Alipozindua ujenzi wa Hspl kwa fedha za wafadhili si mliona alivyo andamwa na Gambo mwisho wakajidai ni mradi wao.
Wana Arusha wanajua Lema anagharamia masomo zaidi ya watoto 400 wasiojiweza.
Lema alibanwa kila kona, uzuri wake wana Arusha sio mazezeta wanajua wanataka nini!!
Maendeleo bila uhuru huo ni utumwa!!
Fedha ya wafadhili, ada ya watoto 400(kama kweli), ndani ya miaka kumi ndio unasema amefanya kazi sana kuleta maendeleo ya wana arusha..?? hayo unayaita maendeleo?
 
Je niulize kuna mkutano aliofanya Lema bila kufatiliwa na Mapolisi??
Alipozindua ujenzi wa Hspl kwa fedha za wafadhili si mliona alivyo andamwa na Gambo mwisho wakajidai ni mradi wao.
Wana Arusha wanajua Lema anagharamia masomo zaidi ya watoto 400 wasiojiweza.
Lema alibanwa kila kona, uzuri wake wana Arusha sio mazezeta wanajua wanataka nini!!
Maendeleo bila uhuru huo ni utumwa!!
Wangetaka watu wangemwomba Mh.Lema awaalike kwenye ufunguzi wa hiyo barabara,wangepata watu wa kutosha.
 
Arusha huwezi kuwapata watu wa aina hiyo, kila mtu kesha kula yamini ya kuikataa ccm
Jaffo kamuonea sana huyo meneja, kwani nyie na CCM yenu mlishindwa nini kuwaita wale manamba wenu wasio na kazi na nguo zao za kijani wakakate viuno hapo barabarani?
 
Back
Top Bottom