johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Alianza kupiga mkwara pale wilayani Mwanga lakini Apson na Lubuva wakamkazia macho.Amezidi kuota MAPEMBE
Pale Mwanga DED Lubuva aliwapakazia Tarura kwamba hawampi ushirikiano sasa Waziri kamalizia hasira Arusha kwa mtu asiyestahili.
Nina imani Rais Magufuli ataliangalia hili!