johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwasasa nadhani jikite sana kwenye viongozi wa ccm wanaotoa rushwa.
Lema mtu watu achana nae
Mkuu mimi niwaza sawa na wewe aliefukuzwa ni mhandisi sio mwanasiasaSi kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika...
Kamuonea sana ila haya mambo yana mwisho,yuko wapi kange lugola na tambo zake zoteJaffo kamuonea sana huyo meneja, kwani nyie na CCM yenu mlishindwa nini kuwaita wale manamba wenu wasio na kazi na nguo zao za kijani wakakate viuno hapo barabarani?
Hivi CCM kuna kiongozi aliyepatikana bila rushwa?
Maana ingekua kweli hawapendi rushwa tungesikia watu wamefungwa jela miaka kadhaa,lakini kila wakati wa uchaguzi rushwa ni kwa kwenda mbele.
Lema anatakiwa kuingizwa " force king"Haya ndio madhara ya kufanya kazi kwa miongozo ya akina Polepole , utaratibu wa kufanya kazi umeandikwa lakini mnatunga ujinga ili kupambana na Lema , hamtafanikiwa na mtadhalilika vibaya sana !
Lema ni hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamaniHaya ndio madhara ya kufanya kazi kwa miongozo ya akina Polepole , utaratibu wa kufanya kazi umeandikwa lakini mnatunga ujinga ili kupambana na Lema , hamtafanikiwa na mtadhalilika vibaya sana !
Tatizo la Arusha...... Wahuni wanapiga kura!lema ni mpuuz tu hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamani
Kama kuna siku Jafo kaniudhi ni siku ya leo kumdhalilisha baba wa watu hadharaniSi kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.
Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa...
Si kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.
Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa...
Wanasiasa ni kama hawana dini!Kama kuna siku Jafo kaniudhi ni siku ya leo kimdhalilisha baba wa watu hadharani
Amezidi kuota MAPEMBEWanasiasa ni kama hawana dini!
We mwenyew mhuni....brain left side feelinglema ni mpuuz tu hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamani