The original
Member
- Apr 13, 2020
- 30
- 19
Umepotea ndugu LEMA ni jembe miongoni mwa wanasiasa vijana hodari huo ni wivu tuLema ni hajafanya chochote arusha, wanaomshabikia ni wahuni tu, hamna cha maana alichofanya arusha zaidi ya kujiimarisha mwenyewe kiuchumi, kazi kutwa kushinda kwenye mitandao na maneno maneno tu mitandaoni na kushinda mahakamani
sio wivu, huo ndio ukweli ndugu, arusha tunahitaji mabadilikoUmepotea ndugu LEMA ni jembe miongoni mwa wanasiasa vijana hodari huo ni wivu tu
na kwanini anafanya mambo ambayo yanampelekea kufikishwa mahakamani, je tulimchagua ili afanye upuuzi ambao unapelekea yeye kufikishwa kila mara kwenye vyombo vya dola au tulimchagua awakilishe wananchi wa arushaAliyempeleka mahakanani (kumshitaki) Lema ni nani?
Ukimjuwa,
Mlaumu Huyo kwa Lema kushindwa kufikia malengo ya kuitumikia Arusha.
sema wewe ndio upo na lema, utajjkuta peke yako. arusha inarudi mikononi mwa ccm..ila sio mbaya kujipa moyoWewe ndiyo unajitoa akili kwa makusudi, unaongelea mh Lema kutumia muda mwingi mahakamani? Huko mahakamani anajipeleka mwenyewe?
Kuitwa kichaa siyo lazima utembee uchi, naona wewe tayari ushakuwa kichaa tayari.
Sisi wana wa Arusha tupo na mh Lema hata mfanyeje hamuwezi kutubadilisha mawazo na mapenzi yetu kwa mh Lema.
mara mojamoja unaeleweka ukiweka ukijani pembeniSi kwamba Lema ni mwanasiasa mzuri sana au utendaji wake ni wa viwango, kiukweli huyu jamaa ametokea tu kukubalika.
Inahitajika saikolojia ya viwango kuweza " kumfifisha" huyu jamaa mbele ya machalii wa A - town na siyo hii ya kuadhibu wataalamu barabarani kana kwamba nao ni wanasiasa.
Watu kuja kushuhudia ufunguzi wa miradi inabidi wahamasishwe na wanasiasa wa CCM siyo watendaji au wataalamu.
Ni angalizo tu.
Maendeleo hayana vyama!
Hizo taarabu zenu zisha kuwa zilipendwa maana zilianza kipindi kirefu.sema wewe ndio upo na lema, utajjkuta peke yako. arusha inarudi mikononi mwa ccm..ila sio mbaya kujipa moyo
mara mojamoja unaeleweka ukiweka ukijani pembeni