Channel gani inarusha live?
Hivi hawa wanajua kama nao ni sehemu ya biashara? Nani aliwachagua?
Hao washapata kazi? interview zao huwa ni kwa kutumia utumishi portal?
Huyu ni jembe wa upinzani ila hajui indirect benefits za airline.
Mzee karume sijui alikosea wapi. Angetumia mpira tu.