Angalizo kwa haters mkiona faya inamwagia maji ndege haijaungua ile ni salute msije humu kukurupuka inawaka moto

Napendekeza siku za kupokea ndege ziwe ni public holiday ili Watanzania wengi kwa umoja wetu tuweze kushiriki na kuenzi kazi nzuri inayofanywa na Kim Sung Pombe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rais amesema UKWELI kabisa.na mara nyingi ukweli HUUMA.
Swali hili ambalo Rais JPM amewauliza Watanzania ni swali lililojaa HEKIMA ambalo litawafanya baadhi ya Watanzania WAJITAFAKARI sana.
Hasa wanaobeza kila juhudi zake za maendeleo kila kukicha.
Tanzania Hoyee!!
Magufuli Hoyee !!
 
Kila mtu kwenye uongozi wake anakipaumbele chake,mhe kauli hii huwa anatereza sana kuiongea,maana kila kiongozi anamazuri na mapungufu yake sikwamba yeye kila kitu kipo smoothly kwa miaka hii minne.

Waliokaribu yake wamkumbushe
 
Mmoja ameshamjibu, kujimwambafai hakutamfanya aonekane kiongozi bora zaidi kuliko wote

Mimi matamshi yake kama haya nayafananishaga na ile story ya kwenye Biblia;

Watu wawili walikuwa kwenye sinagogi wakiomba, mmoja akitubu kwa dhati asamehewe madhambi yake huku akipiga piga kifua chake! Eee Mungu unisamehe Mimi mkosaji!

Na wa pili alikuwa pembeni yake akitamka maneno haya; "nakushukuru Eee Mungu, Mimi sio kama huyu, nafunga mara tatu katika wiki, natoa zaka na sadaka...akimaanisha yeye si mdhambi kama huyo wa kwanza

Mwisho wa kisa tunaambiwa maombi yaliyopokelewa na ya yule aliyeomba kwa kupiga piga kifua chake kwamba ni mdhambi...Hakujimwambafai kama huyu wa pili
 
Mkuu we unakaa kimara ipi iliyokosa maji week nzima mkuu
Temboni yote nimeacha haina maji, sasa kama temboni hamna maji huko chini kote suka,stop over,etc hakuwezi kuwa na maji, labda kama haujawahi kuwa connected na maji ya serikali, sababu wewe huwezi jua kama kuna shida ya maji au la.

hadi watu wa bodaboda wanauza maji
 
Kwanini wanaendelea ku bail out pamoja na hasara kila mara?
 
Hivi kuna haja gani ya kuwa na vikao vya bunge wakati pesa na miradi ya maendeleo inapangwa na kutolewa na rais?
 
Unataka wajibu ili useme utawala umefitinika,malengo yenu hayatimii,jikiteni kwenye uchaguzi ujao kwanza ili mjipange mwakani.
 
Hivi anajua baba wa taifa hili alituletea ndege ngapi na hakuwa na maneno ya kishamba?MTU ambaye amekulia kwenye umasikini,njaa,migogoro ya kifamilia na mwenye inferiority complex anachekesha sana.Damn dumb!
Zilienda wapi hizo ndege?
 
Hizo ni story za kwenye bible,zinarenga imani na kujitakasa.

Mtu akikwambia anaweza kula ugali kilo nane kuliko wengine na kweli akaula ukaisha,hajajiinua wala kujikweza amekujuza yeye ni nani,kama unasubiri siku aje ashindwe wakati kwa leo amethibitisha kauli yake,itakiwa ni kwa sababu nyingine na hupaswi kumshangaa endapo itatokea.
 
Kila mtu kwenye uongozi wake anakipaumbele chake,mhe kauli hii huwa anatereza sana kuiongea,maana kila kiongozi anamazuri na mapungufu yake sikwamba yeye kila kitu kipo smoothly kwa miaka hii minne.

Waliokaribu yake wamkumbushe
Basi kipaumbele chake ni kufufua mashirika yaliouliwa na kujitahidi kupambana na majizi mbalimbali,hivyo tumsaidie kwenye vipaumbele vyake kama ambavyo wenye vipaumbele vya wizi walisaidiwa na wenzao.
 
Kuhusu maofisa wa ATCL kuwa na Lugha mbaya nakubaliana naye kabisa hasa Mwanza,sijui kama yule mama Meneja bado yupo pale Mwanza
 
Kila zama na kitabu chake,hata yeye ajae atakamilisha alivoshindwa kukamilisha hawezi kumaliza vyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…