Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Kwahiyo unaona bora upande mali ya mabeberu kuliko mali ya Tanzania?
Fast jet tulipanda kwa nauli zetu na hakukuwa na siasa chafu. Hizi ATCL tunapanda kaa nauli zetu na bado mnatuletea gutter politics.