Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Yule nae Ndezi tu, hataki tujenge kwanza ndio tumpigie kazi.

Smenti mifuko kumi inampunguzia nini

Wahindi ndio wapigaji sasa halafu wanafichia kwenye leja ya matumizi
Sio yeye tu, wawekezaji wengi wanalalamika juu ya uaminifu wa wafanyakazi watanzania wa kada zote; wote ni wapigaji Mpaka SPIKA wa Bunge ,si uliona bili yake ya hospitali alivyoibumba!!
 
Ahaa nimekupata,Babu alitusua kimaisha au Bado anaganga njaa ?
 
Mkuu saizi Qatar,UAE kuna fursa Sana wahindi hawaingii sababu ya Covid-19. Ukiomba mchongo wa fani yoyote kwenye matangazo yao unapata fasta.
Mkuu nauli ya Qatar ni kiasi gani, mchingo gani ni rahisi zaidi kuipata , je hali ya kimaisha kijamii na kiuchumi iko vipi...?
 

Mwanzo umeongea km unajielewa baadae kuanza kuleta pumba zako za siasa kwenye uzi unaozungumzia mambo ya msingi...

Ukiwa loser wewe ni loser tu,uwe tanzania uwe marekani uwe wapi.Unalalamika upuuzi nakutafuta mtu wa kulalamika mbona wenzako wamefanikiwa
 
Kiuzoefu Sisi wabongo wengi hatuna Akili ya kusogea kimapato tofauti na watu wengine,Utawakuta watu wa mataifa kama Nigeria,Zimbabwe na wengineo wakifika ulaya wanaanza kupambana na kazi za ovyo Ila baada ya muda utaona wamefingua African shops zao,au wanasoma baadaya ya muda Utawakuta wapo sehemu nzuri,

Ila Wabongo tunaishia always kubeba box na usafi katika Maisha yetu yote,hatujiongezi kabisaaa,

Nawaincourage watanzania wenye Elimu ya UMEME,PLUMBING,GAS KAMA WAPO,FUNDI UJENZI,FUNDI MAGARI,SEREMALA, waje watafute Fursa Ulaya maana wanahitajika,
 
Huku saizi maharage hasa Yale mekundu baba yanatafutwa ni balaa, Mimi napigana hapa nipate vibali nije bongo kukusanya mzigo.
Maharage mekundu, yanayolimwa Bukoba?
Ngoja ntakutumia picha, Kuna maharage mekundu tunayalima Sana home Bukoba.
 
Sikulifiria hilo kwa maana ilikuwa2018 wakati Vyuma vilipokuwa vimekaza balaa, halafu ikawa hata ukisema vyuma vimekaza ni marufuku😁
Bila shaka unazungumzia zile zama ambazo ukisema vyuma vimekaza, unaambiwa ulikuwa unaishi kwa kutegemea madili!
 
Bila shaka unazungumzia zile zama ambazo ukisema vyuma vimekaza, unaambiwa ulikuwa unaishi kwa kutegemea madili!
Ndio mkuu, tumepitia wakati mgumu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…