Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Haswa...alirudi na 3m...leo hii ukimpa 20k anakushukuruje
🤣 Alikua nchi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswa...alirudi na 3m...leo hii ukimpa 20k anakushukuruje
Canada..🤣 Alikua nchi gani?
Nipe mchongo mkuuSouth Africa kwamimi hapana,sioni kama ni pahala salama kwa kutafuta.
Mahala salama kwangu mimi ni hapa Bongo alafu uko ni pa kutalii tu kwa wiki moja kisha unageuza kurudi Bongo.
Hao ni mafala huko ulaya walishindwa kujiendeleza kielimuKwenye familia yetu wapo wawili, mmoja 37, another kwenye late 40s, jamaa hawana chochote, wanaona hata aibu kurudi home, wote elimu yao ni form 6, and walifaulu vizuri tu, ujuaji mwingi wakaamua waende Ulaya. No kids, no house! Wakirudi wanafikia home na kwenda kushinda Samaki samaki siku nzima, wanasema hata wakirudi tz kuishi watafanya nini sasa? Hamna hata pa kuanzia, bora wapate fedheha huko Ulaya kuliko tz. Marafiki zao wote waliowaacha tz wapo very stable financially kibongo bongo
Canada..
Amepigika hata neno lenyewe halitoshi kuelezeaHuyo ni uzembe wake. Canada kutoka rahisi sana, 3M is nothing in Canada.
Amepigika hata neno lenyewe halitoshi kuelezea
Duh....Hatari....tena wengine wako humu humu JF; huwa wanasema nao wako South; naona huu uzi hawatouchangia.Hahahahahahahahahaahah!
Mkuu kuwa makini aiseee. Watakuibia!!!!
Juzi mmoja kafiwa na baba yake mzazi huku kashindwa kuja msibani hana nauli. Sio suala la covid au nini, ni yaani hana nauli
No excuse katika maisha, familia kitu gani ushawahi kujiuliza ukifa leo familia itaishije? Pambania ndoto ingali uhai ikitiki your family will be proud of youHuyu shemeji yangu alikua canada pia..alivhofanikiwa amerudi na masters...basi...mie maisha yyt yale jaman naishi mradi nilipwe...mie bas tu nna familia tayari ..la sivyo nikujilipua
Duh.... mie toka shemeji yangu arudi toka nje na hela mbuzi sijapata tena mzuka aisee...hapana
3mAlirudi na bei gani mkuu?nimuuzie simu used [emoji23]
Ungejua hata hapa napigwa vita balaa..yaan nashangaa....No excuse katika maisha, familia kitu gani ushawahi kujiuliza ukifa leo familia itaishije? Pambania ndoto ingali uhai ikitiki your family will be proud of you
Kuna 2 nawafahamu wamekuwa shoga. Mmoja alirudi. Mwengine anaishi kinyumba na mwanamme mwenzieDuh.... mie toka shemeji yangu arudi toka nje na hela mbuzi sijapata tena mzuka aisee...hapana
Dah maisha hayaKuna 2 nawafahamu wamekuwa shoga. Mmoja alirudi. Mwengine anaishi kinyumba na mwanamme mwenzie
Naunga mkono hoja.Wezi wengi siyo watz bali ni majirani zetu ndio hupenda kujitambulisha kama watz lakini diyo! Hii nimesha'prove' mara nyingi tu! Ukiongea naye utagundua kiswahili chake siyo kabisa!
Harafu mtu yupo huku anasema wewe usije kazi ipo...Aisee niliwaona (well.. kwenye TV) Wazimbabwe wakivuna Shamba la Miparachichi usiku usiku halafu wanaenda kuyavundika na kuyauza walipiga pesa ndeefu..nikajisemea Moyoni nani anitupe huko.
Wazulu wameng'oa hadi mataruma ya Reli huko sio pa kwenda kwa miaka hiiHarafu mtu yupo huku anasema wewe usije kazi ipo...