NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Wanyanyembe mshaanza kuweweseka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri October ndo utaamini kama hii nchi ni ya watanzania na si ya CCMHujui?
Subiri October ifike ndo utaamini kama watanzania ni waoga au la!!Afrika nzima, hakuna nchi ina wananchi waoga kama watanzania
Yaani kama vile wamemwagiwa maji ya baridi.
Kila la heri ndugu yangu. Pengine umri umenitupa mkono piaSema wewe ndo huna uthubutu huo.. Tz ya leo siyo ya mwaka 1990.. fungua macho bro
Kama 2015, Jecha alipindua meza mchana kweupe na hakuna aliyethubutu kuweka mguu barabarani , jaribuni wakati huu wa Magufuli muone mziki wake.Subiri October ifike ndo utaamini kama watanzania ni waoga au la!!
🤣🤣🤣.. Tanzania yenye watu wengi wanaotumia social media ni vigumu kuwadanganya.. ccm iko kwenye majaribu makubwa kuwahi kuikutaKila la heri ndugu yangu. Pengine umri umenitupa mkono pia
NGUVU YA MAMBA NA SAMAKI NI MAJINI TU, UMETOA USHAULI MZURI LAKINI SIKIO LA KUFA ALUSIKII DAWAMimi nimetoa angalizo tu, siku ya siku ikifika nitakukumbusha uzi huu.
Waambie pamba wazitoe masikioniKwa hali ilivyo uchaguzi wa mwaka huu wa Oktoba ni kama bomu linalosubiri kulipuka, usipoendeshwa kwa tahadhari Tanzania inaweza kuandika historia mpya.
Navikumbusha Vyombo vya Dola, Msajili wa vyama, Tume ya Uchaguzi ya Taifa NEC na viongozi wote wa vyama vya siasa na serikali kuepuka maneno na viashiria vyovyote vinavyoweza kuonyesha upendeleo kwa chama au mgombea fulani.
Naziasa hasa NEC na ZEC kutumia busara ya hali ya juu yaacheni maamuzi ya wapiga kura yaheshimiwe, kitendo chochote cha upendeleo kama kilichofanywa na Jecha 2015 kinaweza kusababisha historia ya nchi yetu kuandikwa upya.
Wagombea wa safari hii na wapiga kura wao wako serious na maisha yao kama nyie mlivyo serious na kazi zenu.
Please, NEC/ZEC, Don't temper with the ballot box, handle with care it's an explosive device.
Sawasawa . Tutaingia barabarani na tutaona atatufanya nini! 2015 sio 2020 na kwa taarifa yako , the world is watching, Amsterdam are watching. ICC is ready for arrest warrant!Kama 2015, Jecha alipindua meza mchana kweupe na hakuna aliyethubutu kuweka mguu barabarani , jaribuni wakati huu wa Magufuli muone mziki wake.
Mubarak wa Misri aliishi madarakani miaka mingapi na alikuwa na nguvu kiasi gani? Mbona aliishia jela na kuletwa mahakamani kwenye cage kama ngedere?Jiwe hasikii. Ashapanga PoliCCM ,TISS na NEC kumtangaza
Mkuu nikuambie kitu kimoja, hapakuwa na MTU wakusimama mbele na kukomalia jambo.Afrika nzima, hakuna nchi ina wananchi waoga kama watanzania
Yaani kama vile wamemwagiwa maji ya baridi.
Kwani Januari na Nape watasaidia tena kuchanga karata za wizi?Mkuu, kwa maoni yangu itakua kama juzi kama jana. Hakuna kitakachobadilika, hakuna kitakachofanywa, hakuna kitakachotokea, hakuna atayeleta resistance, HAKUNA
Itakua ile slogan maarufu ambayo huzungumzwa hadharani tena mchana kweupee
"Tunachukua, tunaweka, waaaa". Shika sana hili neno la mwanzo, tena kotekote, Bara na Visiwani
Walikuwa wanamiliki hadi vikundi vya kigaidi officiallyMubarak wa Misri aliishi madarakani miaka mingapi na alikuwa na nguvu kiasi gani? Mbona aliishia jela na kuletwa mahakamani kwenye cage kama ngedere?
Albashiri wa Sudan miaka mingapi on power na kiburi chake aliishia kulalamika kuwa "sikuzoea kunyea ndoo jamani"
Mifano mingi Gaddafi jee? Karibu miaka 40 katika power na mbabe kwelikweli, lakini kwa kutosikia wenye nchi wenye nchi wana taka nini aliishia kudhalilishwa hadi kufa kama kibaka mtaroni.
Ushauri wa mtoa mada ni bora zaidi kuliko mahubiri ya Gwajima au Sheikh Al had wa Makonda.
Watakaojaribu kuichafua nchi yetu watapambana na mkono dhalimu wa dolaMkuu nikuambie kitu kimoja, hapakuwa na MTU wakusimama mbele na kukomalia jambo.
Lakini kwa huyu Lissu hamasa iliyopo ni kubwa hatari kama ujinga utaendekezwa yale mambo ya kusikia msimamizi wa kituo Fulani kachomwa kisu au DED kapigwa mshale tusishangae kuyasikia.
Sihamasishi kwa sababu siyapendi kabisa lakini naonya.
Acheni kufanya wizi, utakufa na kuacha familia yako na nishani ya ushujaa hakuna atakaye kupa.
Magufuli ana mapungufu sawa lakini unamuonea kumfananisha na hao madikteta wa KiarabuMubarak wa Misri aliishi madarakani miaka mingapi na alikuwa na nguvu kiasi gani? Mbona aliishia jela na kuletwa mahakamani kwenye cage kama ngedere?
Albashiri wa Sudan miaka mingapi on power na kiburi chake aliishia kulalamika kuwa "sikuzoea kunyea ndoo jamani"
Mifano mingi Gaddafi jee? Karibu miaka 40 katika power na mbabe kwelikweli, lakini kwa kutosikia wenye nchi wenye nchi wana taka nini aliishia kudhalilishwa hadi kufa kama kibaka mtaroni.
Ushauri wa mtoa mada ni bora zaidi kuliko mahubiri ya Gwajima au Sheikh Al had wa Makonda.
Kaka usimponze mgombea wako na watendaji wa uchaguzi huu.CCM haiwezi kabidhi nchi kwa wahuni 'aka' wakora
Dikteta ni dikteta tu awe mwarabu au mkorea.Magufuli ana mapungufu sawa lakini unamuonea kumfananisha na hao madikteta wa Kiarabu
Magufuli ni mkali sana na hapendi kupingwa pingwa sio diktetaDikteta ni dikteta tu awe mwarabu au mkorea.