Uchaguzi 2020 Angalizo Uchaguzi wa Mwaka huu; NEC/ZEC msicheze na sanduku la kura ni 'Bomu'

Uchaguzi 2020 Angalizo Uchaguzi wa Mwaka huu; NEC/ZEC msicheze na sanduku la kura ni 'Bomu'

Watu wana midomo mirefu
Wapinzani tunajua hamna jeshi la kupambana na sisi.
Isitoshe urais wa zanzibar kwa mara ya kwanza haukupatikana kwenye sanduku la kura hivyo msitegemee tutawapa nchi kupitia sanduku la kura, kama mna ubavu tunisheni misuli yenu kama hamuwezi tulieni tuliiiiii kama maji mtungini.

Magufuli baba lao
Ccm oyeeeèeee

Chadema juu zaidi
Lisu ni yeyeeeeeeeee
Labda ungetujuvya lengo na maana la demokrasia ya vyama vingi, labda wengine tungekufahamu. Tunapoteza fedha kibao kufanya uchaguzi wakati watu wenyewe ni nchi masikini. Kama hakuna nia ya kuheshimu matokeo ya wapiga kura, basi fedha zetu zisitumike kufanyia uchaguzi. Nadhani kama hio itakuwa suluhusho zuri kuliko kusema kuna vyama vingi na uchaguzi, lakini nchi haipatikani kwa sanduku la kura.
 
Watu wana midomo mirefu

Labda ungetujuvya lengo na maana la demokrasia ya vyama vingi, labda wengine tungekufahamu. Tunapoteza fedha kibao kufanya uchaguzi wakati watu wenyewe ni nchi masikini. Kama hakuna nia ya kuheshimu matokeo ya wapiga kura, basi fedha zetu zisitumike kufanyia uchaguzi. Nadhani kama hio itakuwa suluhusho zuri kuliko kusema kuna vyama vingi na uchaguzi, lakini nchi haipatikani kwa sanduku la kura.
Taratibu za uchaguzi tunazifanya ili tusikose misaada ya pesa za wanaume wa Ulaya na Marekani, kinyume na hapo serikali yetu sikivu ya ccm ingevifuta vyama vyote na hata ccm yenyewe ingefutwa abaki Magufuli tu
 
Mwaka huu watanzania hatutakubali chaguo letu lipuuzwe tusukumiziwe mtu na Jechaism hatutakubali mark my words.
 
Mkuu, kwa maoni yangu itakua kama juzi kama jana. Hakuna kitakachobadilika, hakuna kitakachofanywa, hakuna kitakachotokea, hakuna atayeleta resistance, HAKUNA

Itakua ile slogan maarufu ambayo huzungumzwa hadharani tena mchana kweupee
"Tunachukua, tunaweka, waaaa". Shika sana hili neno la mwanzo, tena kotekote, Bara na Visiwani
Haaahaaa usiishi kwa mazoea nyantele
 
Kwa hali ilivyo uchaguzi wa mwaka huu wa Oktoba ni kama bomu linalosubiri kulipuka, usipoendeshwa kwa tahadhari Tanzania inaweza kuandika historia mpya.

Navikumbusha Vyombo vya Dola, Msajili wa vyama, Tume ya Uchaguzi ya Taifa NEC na viongozi wote wa vyama vya siasa na serikali kuepuka maneno na viashiria vyovyote vinavyoweza kuonyesha upendeleo kwa chama au mgombea fulani.

Naziasa hasa NEC na ZEC kutumia busara ya hali ya juu yaacheni maamuzi ya wapiga kura yaheshimiwe, kitendo chochote cha upendeleo kama kilichofanywa na Jecha 2015 kinaweza kusababisha historia ya nchi yetu kuandikwa upya.

Wagombea wa safari hii na wapiga kura wao wako serious na maisha yao kama nyie mlivyo serious na kazi zenu.

Please, NEC/ZEC, Don't temper with the ballot box, handle with care it's an explosive device.

Sawa kabisa. ZEC wajue tu wakifanya figisu aliyofanya dhalimu, baradhu;i, na jambazi jecha salum jecha ataipoelekea znz pabaya ajue tu mara hii wazanzibari hawatokubali hata kdg. salamu ziwafikie. watakimbia wao na familia zao.
 
Taratibu za uchaguzi tunazifanya ili tusikose misaada ya pesa za wanaume wa Ulaya na Marekani, kinyume na hapo serikali yetu sikivu ya ccm ingevifuta vyama vyote na hata ccm yenyewe ingefutwa abaki Magufuli tu
Tutakosea tukiwaita malaya ?, nao pia hufanya mambo kwa ajili ya pesa za wanaume
 
Safari hii wajaribu kuingiza mabox yao kwa kutumia police pia wajaribu kuzuia mawakala wa CDM hadi saa nne tano ili wafanye yao...

Hatumwi mtu sokoni...!! CCM Weka ugoko CDM weka chuma..dadadeq...hutaki futa uchaguzi tujue moja kama Somalia vile.
unaongea ukiwa wapi?

Upo upo Tanzania, basi uko dunia yako ya wachache saaana!
 
Kwa hali ilivyo uchaguzi wa mwaka huu wa Oktoba ni kama bomu linalosubiri kulipuka, usipoendeshwa kwa tahadhari Tanzania inaweza kuandika historia mpya.

Navikumbusha Vyombo vya Dola, Msajili wa vyama, Tume ya Uchaguzi ya Taifa NEC na viongozi wote wa vyama vya siasa na serikali kuepuka maneno na viashiria vyovyote vinavyoweza kuonyesha upendeleo kwa chama au mgombea fulani.

Naziasa hasa NEC na ZEC kutumia busara ya hali ya juu yaacheni maamuzi ya wapiga kura yaheshimiwe, kitendo chochote cha upendeleo kama kilichofanywa na Jecha 2015 kinaweza kusababisha historia ya nchi yetu kuandikwa upya.

Wagombea wa safari hii na wapiga kura wao wako serious na maisha yao kama nyie mlivyo serious na kazi zenu.

Please, NEC/ZEC, Don't temper with the ballot box, handle with care it's an explosive device.
Butiku aliwaambia vizuri sana kwenye kikao cha NCCR juzijuzi hapa. Sasa kama hawatomwelewa yule mzee wajiandae tu kuingia kwenye historia chafu ya hii nchi
 
Afrika nzima, hakuna nchi ina wananchi waoga kama watanzania
Yaani kama vile wamemwagiwa maji ya baridi.

Hiyo ndio hatari kwani kila muda ukienda watu wanaumia ndani ya mioyo na siku mioyo ikichoka kuvumilia , paka atakuvamia usoni.

Hali ilipofika ni hapo , mti na jicho OCTOBER
 
Kama 2015, Jecha alipindua meza mchana kweupe na hakuna aliyethubutu kuweka mguu barabarani , jaribuni wakati huu wa Magufuli muone mziki wake.



TATIZO KIKIWAKA KUJA KUKIZIMA NI KAZI


Zanzibar tokea 1964 haijakaa sawa , Somalia mpaka leo ndio hivyo, Congo nayo ndiyo hivyo nk
 
TATIZO KIKIWAKA KUJA KUKIZIMA NI KAZI


Zanzibar tokea 1964 haijakaa sawa , Somalia mpaka leo ndio hivyo, Congo nayo ndiyo hivyo nk
Zanzibar imepoaa pooooo kama vile hakuna kilichowahi kutokea.

Watz mbwembwe nyingi wanafanyia kwenye keyboard
 
Back
Top Bottom