Ni dikiteta ana sifa zote za kuwa hivyoMagufuli ni mkali sana na hapendi kupingwa pingwa sio dikteta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni dikiteta ana sifa zote za kuwa hivyoMagufuli ni mkali sana na hapendi kupingwa pingwa sio dikteta
Janjaweed wako likizo?Zanzibar imepoaa pooooo kama vile hakuna kilichowahi kutokea.
Watz mbwembwe nyingi wanafanyia kwenye keyboard
This time sidhani kama itakuwa hivyo.Zanzibar imepoaa pooooo kama vile hakuna kilichowahi kutokea.
Watz mbwembwe nyingi wanafanyia kwenye keyboard
Ukimsikiliza Tundu Lissu anaongea zaidi kwa huzuni kuliko hasira sio kama anavyofanya mpinzani wake meko."Magufuli usicheze na uchaguzi huu, utaishia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai.
Inspekta Jenerali wa Polisi Simon Sirro, usicheze na uchaguzi huu, ukicheza na uchaguzi huu utaishia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai." Mhe. @TunduALissu.
Ogopa sana mtu mpole.Zanzibar imepoaa pooooo kama vile hakuna kilichowahi kutokea.
Watz mbwembwe nyingi wanafanyia kwenye keyboard
Tuwape tu Siri ule utii ni wa kwenye uniforms tu,hao mnaowategemea Wana hasira Sana nanyi mmewanyima haki zao ikiwemo nyongeza za mishahara huo moyo wautoe wapi wa kuwatiini kuwamiliki mabosi zao hakumaanishi mmewamiliki wa chini yao. Ukiongea nao wanaunga mabadiliko.Wapinzani tunajua hamna jeshi la kupambana na sisi.
Isitoshe urais wa zanzibar kwa mara ya kwanza haukupatikana kwenye sanduku la kura hivyo msitegemee tutawapa nchi kupitia sanduku la kura, kama mna ubavu tunisheni misuli yenu kama hamuwezi tulieni tuliiiiii kama maji mtungini.
Magufuli baba lao
Ccm oyeeeèeee
Chadema juu zaidi
Lisu ni yeyeeeeeeeee
Hakuna kitu ubabe na wizi wa kura upo palepaleTuwape tu Siri ule utii ni wa kwenye uniforms tu,hao mnaowategemea Wana hasira Sana nanyi mmewanyima haki zao ikiwemo nyongeza za mishahara huo moyo wautoe wapi wa kuwatiini kuwamiliki mabosi zao hakumaanishi mmewamiliki wa chini yao. Ukiongea nao wanaunga mabadiliko.
Mkuu kumbe wewe ni mtu mke?Kuliko maza wako?
Acha acheze na sanduku tuchapaneJiwe hasikii. Ashapanga PoliCCM ,TISS na NEC kumtangaza
Kanuni ya uumbaji na maumbile ni very common, kwamba kila kilichoumbwa, lazima kizeeke na kufa. Huwezi kuzuia hiloUnfortunately Watanzania hawana uthubutu huo
Reality?Kwa hali ilivyo uchaguzi wa mwaka huu wa Oktoba ni kama bomu linalosubiri kulipuka, usipoendeshwa kwa tahadhari Tanzania inaweza kuandika historia mpya.
Navikumbusha Vyombo vya Dola, Msajili wa vyama, Tume ya Uchaguzi ya Taifa NEC na viongozi wote wa vyama vya siasa na serikali kuepuka maneno na viashiria vyovyote vinavyoweza kuonyesha upendeleo kwa chama au mgombea fulani.
Naziasa hasa NEC na ZEC kutumia busara ya hali ya juu yaacheni maamuzi ya wapiga kura yaheshimiwe, kitendo chochote cha upendeleo kama kilichofanywa na Jecha 2015 kinaweza kusababisha historia ya nchi yetu kuandikwa upya.
Wagombea wa safari hii na wapiga kura wao wako serious na maisha yao kama nyie mlivyo serious na kazi zenu.
Please, NEC/ZEC, Don't temper with the ballot box, handle with care it's an explosive device.
Kwa hali ilivyo uchaguzi wa mwaka huu wa Oktoba ni kama bomu linalosubiri kulipuka, usipoendeshwa kwa tahadhari Tanzania inaweza kuandika historia mpya.
Navikumbusha Vyombo vya Dola, Msajili wa vyama, Tume ya Uchaguzi ya Taifa NEC na viongozi wote wa vyama vya siasa na serikali kuepuka maneno na viashiria vyovyote vinavyoweza kuonyesha upendeleo kwa chama au mgombea fulani.
Naziasa hasa NEC na ZEC kutumia busara ya hali ya juu yaacheni maamuzi ya wapiga kura yaheshimiwe, kitendo chochote cha upendeleo kama kilichofanywa na Jecha 2015 kinaweza kusababisha historia ya nchi yetu kuandikwa upya.
Wagombea wa safari hii na wapiga kura wao wako serious na maisha yao kama nyie mlivyo serious na kazi zenu.
Please, NEC/ZEC, Don't temper with the ballot box, handle with care it's an explosive device.
Hii kitu Ni uongo.Hakuna wizi wa kura ambao huwa unafanywa kituoni.Labda ngazi za juu.Kituoni hapana nabishaMchezo wenyewe huchezwa usiku wa Alfajiri kuamkia siku ya kupiga kura...
Kwa maelewano na msimalizi wa uchaguzi wa kituo husika basi vitabu viwili ama vitatu kupigwa kura kabisa kabisa...
By the time saa moja saa mbili mawakala wanafikia kituoni mchezo ushachezwa ...wenzenu wanaanza na na kura 200 ama 300 nyie mnaanza na 0.
On process; mawakala huwa wanazubaishwa zubaishwa pale ndani ya kituo ili mambo yafanyike kinyemela.
Njaa za mawakala na mawakala wa upinzani wasio uaminifu ndicho chanzo kikuu.
Kumbukeni wasimamizinwa uchaguzi wengi wao ni makada wa chama watiifu.