Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

Waungwana wa Jf mimi nina diploma ya uhasibu kwa yeyote mwenye connection jamani asiniache!!
 
Nahitaji wadada wawili kufanya kazi saluni ya kike maeneo ya Pasiansi Sokoni mkoani Mwanza...kwa maelezo zaidi piga simu namba 0657201120 or 0678369477
 
thumb20.jpg


Salaam!

Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla.

Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine wakitaja kwa upana na wengine kwa ufupi sana na wakati mwingine bila taarifa zozote zitakazomwezesha mwajiri kupata fununu za mtu anayetaka kumuajiri.

Kama ambavyo wanaoweka matangazo ya kazi waliaswa hapa: ZINGATIA-Mnaoweka matangazo ya kazi humu nadhani ni wakati wa wanaoweka matangazo ya kusaka kazi pia tukazingatia vigezo kadha wa kadha.

Walau tangazo la kutafuta kazi liwe na vitu vifuatavyo:


  • Wasifu, kwa kuwa kanuni za JF zinalinda haki ya faragha, utambulisho uhusishe wasifu mwingine ISIPOKUWA majina. Mathalani, mwombaji anaweza kusema kuwa yeye ni kijana mwenye umri wa miaka XX anayepatikana eneo XY.
  • Elimu, hii inasaidia mtu ambaye anaomba kazi kuweka wazi elimu aliyonayo, iwe ya jumla au ya utaalamu mahususi. Waajiri au wenye kujua fursa za ajira wangependa kujua elimu aliyonayo mhitaji ili wamsaidie iwezekanavyo.
  • Uzoefu. Hiki ni kigezo kinachompa sifa za ziada mwombaji. Ni vema kusema kama umewahi kufanya kazi, semina ama kuhudhuria mafunzo fulani maalumu kwani itaongeza ushindani wa mwombaji.
  • Mapendeleo. Kutaja elimu na uzoefu pekee hakutoshi, ni vema muombaji/mhitaji akaweka wazi kazi, eneo, mazingira ya kazi ambayo anayapendelea pamoja na vitu vingine vya ziada. Kuandika kwa ujumla sana hupelekea wasio na nia njema kujibu kwa kejeli na dhihaka. Kuwa mahususi na kazi itakiwayo kutapunguza majibu mengi yasiyofaa kwa mwombaji.
  • Andiko lisiwe na nia ya kuvuta sana usikivu. Maandiko yenye uelekeo wa kulia-lia, kutangaza kuwa maisha ni magumu na hujui ufanyaje hakurahisishi harakati za kupata kazi. Watu wenye nia mbaya wanaweza kutumia uhitaji huo uliopitiliza kwa manufaa yao kiuchumi (utapeli) na hata kingono (hasa kwa mabinti).

Nawatakieni kila lililo jema katika harakati za kusaka ajira!

[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji106]
 
Wakuu kuna dada anatafuta kazi ya Stationary yupo Dar, maeneo ya Gongo lamboto.
 
Tunahitaji madereva hoteli ya Lahe SLP 6129 Mwanza kabla ya tarehe 10.7.2023. mshahara maelewano piga simu 0754290084.
 
Mimi ni kijana Umri 26 nina elimu ya form Six 2022. Nahitaji kazi yoyote ili kujikimu kimaisha. Napatikana Kilwa-LINDI
0623217775 Au 0658719467
ASANTENI
 
[emoji845]NISAIDIE KUPATA MCHONGO[emoji845]
Nina degree ya
COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT.
[emoji419]Naitafutia uzoefu ili badae niweze kuwa na chochote kwenye CV na kuombea Kazi.
Nisaidie hata Internship tu.
Location :KIGOMA ila kokote kama kuna uhakika mimi nitafika.
[emoji736]Msaada waungwana, mniinue
[emoji736]Taasisi
[emoji736]Social Work
[emoji736]Mashirika(NGOS)
kokote kule aisee
0628849189
 
Mimi ni Fundi wa kuchora matangazo ya biashara ukutani na kupiga rangi magari kwa kuchora hivyo hivyo matangazo(spray)na kutengeza mabango aina mbali mbali kuprint t-shirt na alama za barabarani na vingi vingine vinavyohusu matangazo mbalimbali
Kwa mawasiliano 0784367859/0767367859/0715367859
9bfa3f3dfbde1d2eec8d2b02634f6713.jpg
 
Habari,
mimi nina shahada ya banking and funance, toka chuo cha IFM (2018 graduant), pia nina cheti cha Film and TV production toka chuo cha Jasons Film Academy (2023) cha posta Dar es Salaam

nina exeperince kama vile;

(1) nilifanya field bank ya NBC 2015

(2) Nilifanya kazi ya kutafuta wateja yani marketing kwenye kampuni iitwayo Mindsource iliyipo Dar es Salaam 2017

(3) nikajiajiri katika tasnia ya filamu, kwa muda miaka mitati nikiwa kama editor, director, na kufanikiwa kutengeneza filamu mbili

nina skills kama vile;

(1) accounting and book keeping
financial analyzing

(2) marketing

(3) videography ( camera, editing, directing)

pia naweza kufanya professional photography na graphic designing auna zote, yani still na motion graphic design

natafuta:

kazi yoyote, ambayo itahusisha skills nilizotaja

kazi iwepo popote maeneo ya Dar es Salaam ama kibaha

mawasiliano yangu ni 0685416752 na 0742938055
 
Natafuta kazi ya kufundisha Private School

( primary & secondary schools )

Masomo: English language, History

Uzoefu 2 years
 
Natafuta kazi ya kufundisha Private School

( primary & secondary schools )

Masomo: English language, History

Uzoefu 2 years
Primary School: Civic and Moral, Social, & English language.

Secondary: History & English language
 
Unavyosema ni sahihi, tatizo utaomba kazi Sana watu wanajuana ile mbaya haswa kwenye nafasi chache Sana mfano nafasi 1 hadi 10 bora nafasi za vijijini Kama za Sensa hapo afadhali.
 
STATUS: JOB SEEKER.


PROFESSION: TUTOR.


EDUCATION: BACHELOR OF EDUCATION IN ADULT AND COMMUNITY EDUCATION.


EXPERIENCE: SIX MONTHS.

CURRENT ADDRESS: DAR-ES-SALAAM.

PHONE NO_: 0756166405
 
Wanajamii forums, na mimi natafuta kazi

sifa zangu ni kama zifuatazo

(1) nina bachelor degree masuala ya banking and finance

(2) nina cheti cha film and Tv production

(3) nina experience ya kazi ya marketing
(4) nina experience ya kutengeneza filamu na video ads

(5) nina skills za graphics design (both motion and still graphics)

ninafaa sana kwa masuala ya marketing
 
Anahitajika binti mwenye uzoefu na kazi ya secretary ofisi ni law firm iko Tegeta Mshahara Laki 3 umri kuanzia 25 years

Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom