Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

HABARI.
Naitwa HAMIS I JUMANNE, nina degree ya MEDICAL LABORATORY Katika chuo cha Muhimbili. Ninauzoefu wa kazi hii, nimefanya kazi kama mtarajali(Intern)katika hospitali ya rufaa ya SEKOUTOURE November 2020_november 2021.
Ninavyeti vyote Pia nina usajili uliokamilika kutoka board ya Maabara Tanzania.
Natafuta kazi.
Contacts: 0742567912/0626333059
Email:hamis4831@gmail.com
 
Habari zenu wapendwa! Kwa majina naitwa Mary nipo mkoa wa dare salaam nina elimu ya kidato cha nne natafuta kaz yyte na nipo tayar kwenda mkoa wwt ule mwenye connection naomba anisaidie
 
HABARI.
Naitwa HAMIS I JUMANNE, nina degree ya MEDICAL LABORATORY Katika chuo cha Muhimbili. Ninauzoefu wa kazi hii, nimefanya kazi kama mtarajali(Intern)katika hospitali ya rufaa ya SEKOUTOURE November 2020_november 2021.
Ninavyeti vyote Pia nina usajili uliokamilika kutoka board ya Maabara Tanzania.
Natafuta kazi.
Contacts: 0742567912/0626333059
Email:hamis4831@gmail.com
Good luck kijana wa Nsumba
 
Hello'habari naitwa Hamanda kutoka
Moshi mzoefu wakusafisha magari hasa ndani nakuja mpaka nyumbani namaliza shughuli yote nyumbani
Kwa mwenye kuhitaji 0782 27 90 85
 
thumb20.jpg


Salaam!

Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla.

Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine wakitaja kwa upana na wengine kwa ufupi sana na wakati mwingine bila taarifa zozote zitakazomwezesha mwajiri kupata fununu za mtu anayetaka kumuajiri.

Kama ambavyo wanaoweka matangazo ya kazi waliaswa hapa: ZINGATIA-Mnaoweka matangazo ya kazi humu nadhani ni wakati wa wanaoweka matangazo ya kusaka kazi pia tukazingatia vigezo kadha wa kadha.

Walau tangazo la kutafuta kazi liwe na vitu vifuatavyo:



  • Wasifu, kwa kuwa kanuni za JF zinalinda haki ya faragha, utambulisho uhusishe wasifu mwingine ISIPOKUWA majina. Mathalani, mwombaji anaweza kusema kuwa yeye ni kijana mwenye umri wa miaka XX anayepatikana eneo XY.
  • Elimu, hii inasaidia mtu ambaye anaomba kazi kuweka wazi elimu aliyonayo, iwe ya jumla au ya utaalamu mahususi. Waajiri au wenye kujua fursa za ajira wangependa kujua elimu aliyonayo mhitaji ili wamsaidie iwezekanavyo.
  • Uzoefu. Hiki ni kigezo kinachompa sifa za ziada mwombaji. Ni vema kusema kama umewahi kufanya kazi, semina ama kuhudhuria mafunzo fulani maalumu kwani itaongeza ushindani wa mwombaji.
  • Mapendeleo. Kutaja elimu na uzoefu pekee hakutoshi, ni vema muombaji/mhitaji akaweka wazi kazi, eneo, mazingira ya kazi ambayo anayapendelea pamoja na vitu vingine vya ziada. Kuandika kwa ujumla sana hupelekea wasio na nia njema kujibu kwa kejeli na dhihaka. Kuwa mahususi na kazi itakiwayo kutapunguza majibu mengi yasiyofaa kwa mwombaji.
  • Andiko lisiwe na nia ya kuvuta sana usikivu. Maandiko yenye uelekeo wa kulia-lia, kutangaza kuwa maisha ni magumu na hujui ufanyaje hakurahisishi harakati za kupata kazi. Watu wenye nia mbaya wanaweza kutumia uhitaji huo uliopitiliza kwa manufaa yao kiuchumi (utapeli) na hata kingono (hasa kwa mabinti).

Nawatakieni kila lililo jema katika harakati za kusaka ajira!
ahsante saaan kwa kutujuza,MUNGU awabariki
 
Ndugu zangu tusaidiane kupeana information za kazi nina mzee wangu ni mpishi mzuri alikuwa anafanya kazi ruaha national park company ya foxes safari kwa sasa yupo tu na anahitaji kazi ndugu zangu
 
Habari wapendwa wa jamiiforums natumai muwazima : Mimi naomba kutumia jina hili la bro,kwakua simu niyakwangu:
 
Wapendwa Mimi nifundi natafuta kazi ya kutengeneza madirisha ya aluminum, shelfu, kabati,na milango nifundi mzuri na mzoefu, na uelewa wakutosha, Lakini sinavifaa hususani machine ya kukatia chuma ila vitu vyote ninavyo naomba kwa yeyote mwenye kazi asinisahau namba yangu ni 0745866224 ,0629985887
 
Ndugu zangu natafuta kazi ya kutengeneza madirisha ya aluminum milango kabati na shelf kwa yeyote mwenye kazi anitafute kwa namba hii 0745866224,0629985887
 
Ndugu zangu natafuta kazi ya kutengeneza madirisha ya aluminum milango kabati na shelf mwenye kazi tujulishane tufanye kazi namba yangu NI 0745866224/0629985887
 
thumb20.jpg


Salaam!

Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla.

Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine wakitaja kwa upana na wengine kwa ufupi sana na wakati mwingine bila taarifa zozote zitakazomwezesha mwajiri kupata fununu za mtu anayetaka kumuajiri.

Kama ambavyo wanaoweka matangazo ya kazi waliaswa hapa: ZINGATIA-Mnaoweka matangazo ya kazi humu nadhani ni wakati wa wanaoweka matangazo ya kusaka kazi pia tukazingatia vigezo kadha wa kadha.

Walau tangazo la kutafuta kazi liwe na vitu vifuatavyo:



  • Wasifu, kwa kuwa kanuni za JF zinalinda haki ya faragha, utambulisho uhusishe wasifu mwingine ISIPOKUWA majina. Mathalani, mwombaji anaweza kusema kuwa yeye ni kijana mwenye umri wa miaka XX anayepatikana eneo XY.
  • Elimu, hii inasaidia mtu ambaye anaomba kazi kuweka wazi elimu aliyonayo, iwe ya jumla au ya utaalamu mahususi. Waajiri au wenye kujua fursa za ajira wangependa kujua elimu aliyonayo mhitaji ili wamsaidie iwezekanavyo.
  • Uzoefu. Hiki ni kigezo kinachompa sifa za ziada mwombaji. Ni vema kusema kama umewahi kufanya kazi, semina ama kuhudhuria mafunzo fulani maalumu kwani itaongeza ushindani wa mwombaji.
  • Mapendeleo. Kutaja elimu na uzoefu pekee hakutoshi, ni vema muombaji/mhitaji akaweka wazi kazi, eneo, mazingira ya kazi ambayo anayapendelea pamoja na vitu vingine vya ziada. Kuandika kwa ujumla sana hupelekea wasio na nia njema kujibu kwa kejeli na dhihaka. Kuwa mahususi na kazi itakiwayo kutapunguza majibu mengi yasiyofaa kwa mwombaji.
  • Andiko lisiwe na nia ya kuvuta sana usikivu. Maandiko yenye uelekeo wa kulia-lia, kutangaza kuwa maisha ni magumu na hujui ufanyaje hakurahisishi harakati za kupata kazi. Watu wenye nia mbaya wanaweza kutumia uhitaji huo uliopitiliza kwa manufaa yao kiuchumi (utapeli) na hata kingono (hasa kwa mabinti).

Nawatakieni kila lililo jema katika harakati za kusaka ajira!
Asante Sana
 
Hello ndugu zangu I hope mungu ametia rehema wrote wazima naitwa Goodman Tells kutoka mwanza naomba nafasi yeyote ya kazi elimu yng nimemaliza form4 nakupata division two
 
Back
Top Bottom