Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

NATAFUTA KAZI YA KUJITOLEA, UALIMU KATIKA SHULE BINAFSI (private school)
Nimehitimu Diploma ya ualimu wa shule za msingi katika chuo cha ualimu hapa NCHINI mwaka 2018. Nimejaribu kujitolea katika shule za serikali kwa MWAKA mmoja 2019. Nilikuwa nifundisha MASOMO ya Kiingereza, Kiswahili na maarifa ya jamii. Sasa nataka kuvuna uzoefu katika shule za binafsi. Kama kuna NAFASI, naomba sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naitwa Ben natafuta kaz ya hotel au catering nimesomea na ninauzoefu mkubwa tuu katika supervisor na manager.nahitaji sana no yangu.0765 450 441.nafanya kaz popote tuu.
95233660e8b04452bb18bf899b3ceaf0.jpeg
20200119_191318.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 20200119_191318.jpeg
    20200119_191318.jpeg
    24.7 KB · Views: 76
  • 20200208_104140.jpeg
    20200208_104140.jpeg
    35.5 KB · Views: 76
Kama kuna MTU anahitaji farm manager, katika kada moja wapo kati ya hizi mbili yaani kilimo cha mazao na mifugo, basi anaweza kunitafuta kupitia namba hii +255621350782.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naitwa pyuza Madale nimehitimu IT certificate in microcomputer applications kwa anaehitaji kijakazi kuhusu sekta hio tuwasiliane kwa namba 0622563124 asante
 
Nimemaliza degree ya information technology natafta intern wakuu, Natanguliza shukrani.
 
NATAFUTA KAZI YA KUJITOLEA, UALIMU KATIKA SHULE BINAFSI (private school)
Nimehitimu Diploma ya ualimu wa shule za msingi katika chuo cha ualimu hapa NCHINI mwaka 2018. Nimejaribu kujitolea katika shule za serikali kwa MWAKA mmoja 2019. Nilikuwa nifundisha MASOMO ya Kiingereza, Kiswahili na maarifa ya jamii. Sasa nataka kuvuna uzoefu katika shule za binafsi. Kama kuna NAFASI, naomba sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kile chama cha walimu hakioni hili tatizo??

Kwann hakiazishi mfumo wakuwapokea hawa vijana pindi wakimaliza chuo ...kuliko kuwaacha wakizagaa na kufanya thaman ya hiyo kazi ya ualimu kushuka??

Ifike pahala viongoz wajue uhai wataifa lolote lile ni elimu.

#Vijana wenzangu wenye vyeti vya ualimu toka 2016 hadi leo ifike pahala tuanzishe umoja wetu...hata tufungue shule zitakazo ajiri walimu ambao hawakufanikiwa kupata ajira government au private [emoji3578][emoji3578][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Natafuta kazi ya uber
Habar, mimi ni kijana wa miaka 26, ni mzoefu wa kazi ya uber miaka 2 sasa...mwaminifu,mtanashati pia nithamu ya hali ya juu...sina gari kwa sasa naombeni msaada wa ajira.makazi yangu ni bunju b
no.0764687024
 
NATAFUTA KAZI YA KUJITOLEA, UALIMU KATIKA SHULE BINAFSI (private school)
Nimehitimu Diploma ya ualimu wa shule za msingi katika chuo cha ualimu hapa NCHINI mwaka 2018. Nimejaribu kujitolea katika shule za serikali kwa MWAKA mmoja 2019. Nilikuwa nifundisha MASOMO ya Kiingereza, Kiswahili na maarifa ya jamii. Sasa nataka kuvuna uzoefu katika shule za binafsi. Kama kuna NAFASI, naomba sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu!

Mimi ni kijana mwenye diploma in Information Technology (IT), natafuta ajira iliyo halali ama mahali popote dar es salaam ambapo naweza kufanya kazi kwa kujitolea ili niweze kupata uzoefu.

Pia, kama kuna fundi wa computer / mobile phone nitashkuru kama atanipa nafasi ya kujumuika nae ili niweze kujiimarisha zaidi kwenye ufundi.

Jinsia: Me
Umri: 24
Mahali napoishi: Dar es Salaam
Elimu: Diploma in Information Technology.



Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania Rural Empowrnment Organization-TAREO, Nia asasi isyo kuwa ya kiserikali yenye makao yakee makuu Moshi,Kilimanjaro.
Asasi hii inafanya kazi na jami hususani za vijijini.
Tunapenda kutangaza nafasi ya kujitolea kufanya kazi kwa kipindi cha miezi mitatu ,sita au mwaka mmoja (3-12 ) katika vituo vyetu visuatavyo.
1. SHULEYA AWALI NA KITUO CHA VIJANA MAJENGO,MOSHI (Hii bi shule inayo fundisha watotot wadogo wa kati ya miaka 2-6
Tunahitaji waalimu wa kujitole.
2. MAJENGO VOCATIONAL TRAINING CENTRE, Ni kituo cha mafunzo ya ufundi stadi ,kilimo na ujasiriamali.
KINATOA MAFUNZO KWA AKINA MAMA,VIH=JANA NA JAMII ZA KATA ZA kahe.
3. MOSHI INSTITUTE OF TECHNOLOGY-MIT,CHO CHA UFUNDI STADI NA TECHNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILINO,Kipo moshi mjini.
4.HIMO ICT CENTRE;
Hiki ni kutuo cha mafunzo ya TEHAMA ,huduma za internet na stationary, kulicho HIMO-MOSHI
KWA YEYOTE ATAKAYE PENDA WASILIANE NASI AU ATUME BARUA NA CV ZAKE KWA EMIAL...info@tareo-tz,org au simu no.
o717157659/0754469894.
Kwa wanaohitaji watume CV zao kwa email:
 
Back
Top Bottom