Angekuwa Magufuli kesho tungeamka na Breaking News ya Waziri wa michezo kutumbuliwa

Mama can do it either! Nauona utenguzi wake wa kwanza kwa ngazi hii...
...mmm, nimeanza na wasiwasi na haya unayoyasema mkuu!
Naona mama bado ana huruma za mama..

Yule Uteuzi wake aliyemuambia Mwananchi hadharani kwamba atulize matako, so mpaka Leo anaendelea kula nchi na mama bado anamwachia tu bila kumpa adhabu yoyote!
Hats hili litapita kimya kimya tu...
 
Shida pale ni Abbas anakiburi na inamfanya Innocent kushindwa kufanya kazi yake

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Nilichokuwa nampenda mzee Magu ukizingua tu hapo hapo anakutumbua,hakuna kusubiri
 
Wala, Bashu na mwendazake wana historia usidhan alimpa huo uwaziri bahati mbaya. Wizara hiyo alikuwa anaitumia kuwapa watu asiyiwakubali kama nape au anaoona hawana uwezo lakn anawapenda. Bashu wizara ya viwanda ilimshnda akaona kumtosa hawez maana wanajuana toka enz akamweka hapo.
 
Ukzngua kama hakukubali, unadhani kwanini hakumtumbua makonda kwenye issue ya container la samani? Angekuwa mwingine zege lisingelala. Na yule mkurugenz wa geita?
Nilichokuwa nampenda mzee Magu ukizingua tu hapo hapo anakutumbua,hakuna kusubiri
 
Ila Tanzania bwana, yaani kwa issue kama hii na bado hakuna mtu anayeamua kuwajibika.
 
Aombe msamaha au ajiuzulu
 
Well said
 
Yan ww bhna unamlauma bashungwa wkt na yeye kapewa maelkezo kutoka juu,itoshe kusema Tanzania ni nchi ya hovyo,ccm na serkal yake wnaharb sana had wanaboa
Hivi kujiuzlu ni lazima uwe umeharibu wewe?.

Hata kupokea na kutekeleza maagizo yanayoharibu kama Mtu una busara na umekomaa unawajibika tu.
 
Simba walikuwepo uwanjani wapewe pointi zao 3. Habari ndio hiyo
 
Bashungwa ni nshomile kweli. Huwa nikiangalia picha hii alivyoshika karama akiangalia kamera huku hana karatasi ya kuandika ndipo ninapojua jamaa ni nshomile kweli.



Ila sasa aangalie asijegeuzwa mbuzi wa shughuli kwani aliletwa na magufuli, na hii inaweza kuwa ni mwanya mzuri ya kumrudisha nape kwenye Wizara ile.
 
Acha wa kudemuka waendelee kudemuka but time will tell!
 
Kabisa

Mechinya Simba na yanga haikus emergency

Upoe kwenye calendar for months, watu tumeweka peas na kuchukua likizo tune kuangalia

Sintoelewa if the minister is still in position kesho
 
Hivi kujiuzlu ni lazima uwe umeharibu wewe?.

Hata kupokea na kutekeleza maagizo yanayoharibu kama Mtu una busara na umekomaa unawajibika tu.
Kabisa, kuwajibika sio lazima uwe wewe ndo mwenye makosa. Jambo la ovyo na aibu likitokea ndani ya wizara au kitendo chako ili kurudisha imani ya watu lazima mwenye mamlaka awajibike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…