BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...mmm, nimeanza na wasiwasi na haya unayoyasema mkuu!Mama can do it either! Nauona utenguzi wake wa kwanza kwa ngazi hii...
Naona mama bado ana huruma za mama..
Yule Uteuzi wake aliyemuambia Mwananchi hadharani kwamba atulize matako, so mpaka Leo anaendelea kula nchi na mama bado anamwachia tu bila kumpa adhabu yoyote!
Hats hili litapita kimya kimya tu...