Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Hebu elewa Jiwe wenu ameshakufa , hivi huwa hamuelewi ?Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.
Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.
Ngoja tuone
Kuna lingine lilikuwa linatumbua bila kutafakari. Sijui unalijua?Ww ni li nyumbu ambalo linadaka habari na kumeza bila kutafakari....
sasa Magufuli aibe billioni 2 ili afanyie kazi gani? Magufuli hawezi kuiba pesa acha kuidanganya dunia haiwezi kukuelewa, tena ukitoka hata ukaenda pale ubongo ukamsema vibaya Magufuli utapigwa mawe.Magufuli alikuwa anashirikiana na deus kakoko kuiba pale bandarini asingeweza kumfukuza kamwe. Kama huamini jiulize baada ya tuhuma za wizi na PM kuwafukuza maafisa wa chini kwanini Magufuli hakuchukua hatua kumfukuza kakoko?
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.
Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.
Ngoja tuone
hayo ni maamuzi ya kidikiteta acha kukariri zama zimebadilika mzeeNawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.
Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.
Ngoja tuone
Umesahau CAG angefungasha virago kwa kusema ATCL imepata hasaraNawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.
Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.
Ngoja tuone
Papara za miaka tano na ushee, mbona mambo yale yale yanajirudia?Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.
Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.
Ngoja tuone
Pumbafu ashindwe ķuvunja akiwa hai unataka avunje akiwa Marehemu?Mizombie yake mnapata tabu sana,,mama anafuata sheriaNawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.
Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.
Ngoja tuone
Wakati Mwingine sheria ugeuka kichaka cha kulinda wezi. Ili uwe kiongozi Imara ni lazima Uchukue hatua hatakama sheria zinamlinda Mtuhumiwa.Unayosema ni kweli kabisa. Usichojua ni kwamba JPM alikuwa mtawala na kaeaida ya watawala hutawala na kuchukua maamuzi kutegemeana na ameamkaje lakini SSH ni Kiongozi na mara zote Kiongozi huongoza kulingana na Sheria zinavyosema. Utamfukuzaje DG ilihali tuhuma hazijachunguzwa?
Iyo ripoti wala usingeisikia ungesikia tu ATCL inaleta gawioNawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.
Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.
Ngoja tuone
Kabla hujafika mbali! Believe or not ya kua Magu asingepewa report hiyo ya jana, Angepewa FAKE ya kusifu na kuunga juhudi...Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.
Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.
Ngoja tuone
Ingesomwa bwana ww ila inheandikwa faida ya billion 60 mbona mnakuwa wepes kusahauWe unamatatizo... ile ripoti isingesomwa vile tulivyosikia
Wakati Mwingine sheria ugeuka kichaka cha kulinda wezi. Ili uwe kiongozi Imara ni lazima Uchukue hatua hatakama sheria zinamlinda Mtuhumiwa.
Kama Ndugu yetu Magufuli Angefata sheria kudhibiti mambo Ambayo yalitengeneza Wizi na Ufisadi Leo Nchi yetu isingefikia Mafanikio tuliyonayo.
Hivyo namshauri Mama yetu Samia Hasikubali Kushauriwa na wale wanaotaka kujidai Kumshauri Azingatie sheria. Afanye Maamuzi kwa kuzingatia Maslai Mapana ya Nchi Yetu.
Ingesomwa bwana ww ila inheandikwa faida ya billion 60 mbona mnakuwa wepes kusahau
Wanajeshi na Biashara wapi na wapi?Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.
Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.
Ngoja tuone