Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
Hakuna huduma pale ni biashara tu ndio maana ameng'ang'ana nae coz ni perfect business partnerIle huduma ni Rose na ana uchungu nayo haswa huyo nick shaboka hamna kitu pale mkewe ni mpambanaji haswa. Nick amshukuru Rose na aaChe kumsumbua
Yupo sahihi nimewahi kuhudhuria kongamano lao pale CCC upanga nilijutia muda wanguKaka biashara jamani?
Na utu uzima wote ulo nao unataka hako kabinti kakufundishe nini?Il
Ila kimaadili anatufundisha nini?? Hasa kwa mziki anaoimba??
Mi sio mganga ila mwamba hana hela 😀 za kumtuliza mtt waki KikuyuNdoa yake ya awaliView attachment 2608993
Christina Shusho yupo single kwani? 😀Du kakamata fursa.Hawa waimbaji nyimbo za Dini,wengi ni wasanii tu.Hata yule Upendo kilahiro aliolewa tena,Flora Mbasha pia.Ndoa ya Christina Shusho imekufa,ya Martha mwaipaja pia imekufa.
Mzigo anao au huoni kishepu kile japo bibiIla Rose ni mtu age imeenda kuliko Angel.Au Rose basi alichelewa kuolewa.
Eeh mnazeeka sana nyie ringeni tuBut rose looks older au ndio wanawake tunawahi kuzeeka
Sasa wahuni kama nyie mkiachiwa Gap kidogo si lazma mdokoe asali ya bibi Rose. 😀Ana mlinda kweli na huwawashia moto waumini ambao mumewe anatoa jicho Kali [emoji28][emoji28][emoji28]
Bwana sakafu ni mpiga vinanda studio ila yule mwamba mpya ni Sergeant jeshini 🤣!Angel naye ni tapeli, ndoa ya kikiristo haina mbadala.. labda kama bwana sakafu ni marehemu
Kanaonekana katapeli ka maneno balaa, na ile sauti ya "salama rohoni mwanguuu" ni balaa zito kumbe kajitu hakana mbele wala nyuma aisee 🤣🤣🤣Yule alianza kwenye bongo flavour alivoona haimtoi akakimbilia kwenye Gospel kwenye band ya Glorious Celebration. Huko kanisani akawangusha watumishi wa Bwana akina Nick Shaboka mpaka kufukuzwa Calvary Assemblies of God. Huyo dada ni sumu sijui mr Sakafu aliwaza nini.
Kwaiyo umeamua utumie huo mfano wa chini 😆Bwana sakafu ni mpiga vinanda studio ila yule mwamba mpya ni Sergeant jeshini 🤣!
Kwa akili za hawa dada zetu siwezi kulaumu sana maana hakuna mtu atakomaa na S2keezy halafu amuache Venance Mabeyo mtu wa serikalini anaetembea na escort kibabe na pesa ya uhakika.
Huyo Sergeant zinaenda kuliwa hela zake tu 🤣🤣🤣 mwanamke mnafiki hafai kulumangia hata kwa chumvi.Huyu angel ni limbukeni flani na mshamba hakumpenda alitaka amtumie kumpeleka huko marekani. Ila mwanaume ana moyo na huyo aliyemuoa yatamshinda mtu amezaa na wanaume watatu tofauti yeye ndio shida
Hahahah ndo unaendana na uhalisia tena Sergeant wa jeshi la Marekani. Uchumi wa bluuu tu mwendo wa USD lazma malaya abadili gia angani. Imani hafifu sana hawa dada zetu tuwe nao makini.Kwaiyo umeamua utumie huo mfano wa chini 😆
Wahuni washapiga hadi mahesabu ya kitandani 🤣🤣🤣[emoji38][emoji38][emoji38]
SawaJF hatutajani majina hadharani
Hahahah mimi huyo? 🤣 Hakuna mahali ataenda Tz ndio her destiny yani kutoboa atoboe nini? Yeye ni wa hapa hapa tu. Huko labda niende mimi kwanza.Mume ndio alimuumganisha huko maana ni producer kufika kamuona hafai no future at all. Hii tabia ya kuwapeleka mbele wanawake haifai Kuna rafiki yangu alipeleka mke Canada kufika kule kapata mzungu akagoma kumrudia mume na watoto
Samahani hivi anaeongelewa hapa ni nani ni rose mhando ama🤔"Dada Rose", ndivyo tulivyokuwa tunamuita hadi waliompita umri walimuita hivyo, kwasababu ya jinsi alivyokuwa anajiweka. Mstaarabu, anampenda Yesu, kichwa balaa maana alikuwa anakimbiza darasani, mshauri mzuri, boonge la muimbaji, halafu sasa ni msafiiiiii anajipenda hadi sio poa.
Yupo Arusha au Dar ?Amon nae kaoa juzi juzi ,Amon yupo Tanzania .