Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Tunafanana kwenye nini ?Wanaume wote mnafanana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunafanana kwenye nini ?Wanaume wote mnafanana aisee
Raisi wa France kazidiwa miaka zaidi ya 15 na mke wake hii imekaaje mkuu ?Mwanamke aliyezaliwa mwaka mmoja na mume lazima baada ya miaka michache aonekane mkubwa. Mke angalau umzidi miaka 5. Huwa nawaambia vijana wadogo kwamba hao girlfriend zenu sio wake zenu mmewashikia tu watu
Ni kweli ile ni business kama zilivo biashara nyingine tu paleHakuna huduma pale ni biashara tu ndio maana ameng'ang'ana nae coz ni perfect business partner
Mimi ndio maana napenda mwanaume aliyenizidi sana umri unafikiria nikipita na kibabu hamna atakayenishangaaEeh mnazeeka sana nyie ringeni tu
[emoji28][emoji28] Kwa kweli Kuna wadada wao Huwa wanajifanya wataka maombi kumbe raha Yao kulalwa na watumishi tu basi. Ila Kwa mtindo huu mbinguni watakaoenda ni Wachache sanaSasa wahuni kama nyie mkiachiwa Gap kidogo si lazma mdokoe asali ya bibi Rose. [emoji3]
Huyo aliyekuzidi umri atakuwa ni kibabu mume wa mwanamke mwenzioMimi ndio maana napenda mwanaume aliyenizidi sana umri unafikiria nikipita na kibabu hamna atakayenishangaa
ina maana kama ni mkatoliki ameachana na mkewe,akaenda kuoa mlokole nayo inakua batili?Ndoa itakua batili
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]eti mabeyo vs skeezyBwana sakafu ni mpiga vinanda studio ila yule mwamba mpya ni Sergeant jeshini [emoji1787]!
Kwa akili za hawa dada zetu siwezi kulaumu sana maana hakuna mtu atakomaa na S2keezy halafu amuache Venance Mabeyo mtu wa serikalini anaetembea na escort kibabe na pesa ya uhakika.
Na ndio maarufu. Hata injili yenyewe hawaiimbi.Mziki wa Injili umetekwa na watu wasio ijua biblia.
Martha Baraka kaolewa na Mume mwingine ndoa ya mwanzo imekufa. Martha Mwaipaja Bado yupo Single.Ni martha mwaipaja sio Martha baraka
Hafu huyo angel ni single mom of three atakuwa witch na anaokota wakumuoa nadhani kaumaarufu wanaume wanafata. Yani Angel Kwa ndoa wanashindana na dida shaibuHuyo Sergeant zinaenda kuliwa hela zake tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwanamke mnafiki hafai kulumangia hata kwa chumvi.
Atajengeshwa nyumba bongo mwisho wa siku atamkamata cheating biashara inakuwa imeisha wanagawana pasu kwa pasu. Kama sheria inavyosema. Mwanamke njaa njaa sio wa kumpa line kabisa kwenye maisha.
Unajua waliwahi tengana miaka 5 wanaishi nyumba moja ila vyumba tofauti. Mimi nilikuwa ninasali nao Tabata na Shusho mme ndo alikuwa mchungaji kiongozi pale.Muda..almost 3 yrs
Namlaumu tu angel Mimi ningekimbilia Kwa mabeyo sio kwamba nampenda sana Wala nivile naangalia future ya watotoHahahah mimi huyo? [emoji1787] Hakuna mahali ataenda Tz ndio her destiny yani kutoboa atoboe nini? Yeye ni wa hapa hapa tu. Huko labda niende mimi kwanza.
Ila nikuulize tu kati ya S2keezy na Venance Mabeyo wewe utamchagua nani!? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama karidhika naye hakuna noma jomba. Mimi mwenyewe kuna wanawake wakubwa kwangu ila wangekuwa hawajaolewa na kutaka kunipa chance nisingepoteza sekunde kuwakubalia. Kwa mfano yule waziri Angela huwa namuota kwa wiki mara 7.Raisi wa France kazidiwa miaka zaidi ya 15 na mke wake hii imekaaje mkuu ?
Ila tukubaliane bado nchi ina wapumbavu wengi sana. Hao waumini wa kanisa la Shusho akili zao zipimweUnajua waliwahi tengana miaka 5 wanaishi nyumba moja ila vyumba tofauti.Mimi nilikuwa ninasali nao Tabata na Shusho mme ndo alikuwa mchungaji kiongozi pale....
Sio 15, Macron kazidiwa miaka 25 na mkewe.Raisi wa France kazidiwa miaka zaidi ya 15 na mke wake hii imekaaje mkuu ?
Christina shusho kumbe ameachika? DuuhDu kakamata fursa. Hawa waimbaji nyimbo za Dini wengi ni wasanii tu. Hata yule Upendo kilahiro aliolewa tena, Flora Mbasha pia. Ndoa ya Christina Shusho imekufa, ya Martha mwaipaja pia imekufa.
Kaangalia fursa huyoAmeniboa Sana. Nadhani hata huyu mme mpya ameangalia fursa tu kwake.
Kule Tabata waumini wengi ni waha wale warundi ambao wazazi wao walihamia Tanzania 1972.Ila tukubaliane bado nchi ina wapumbavu wengi sana. Hao waumini wa kanisa la Shusho akili zao zipimwe