Hahahahaha....[emoji1][emoji1][emoji1]watulie dawa iwaingie waache uzwazwaWapendwa wa aposto wanatamani uzi ufutwe[emoji23][emoji23][emoji23]
Chakushangaza wanatoa sadaka Hadi za kujimaliza au kununulia watumishi magari huku wao wataombewa wapate gari na hawapewi hela so I don't understandIla Hawa wachungaji Hawa yaani wanajimaliza Mwenye sadaka mwenzao anawajengea waumini
Ukimsema utawaskia Wanamtetea eti na yeye ni binadamu majaribu kawaida tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Maigizo ni mengi,kanisa ni biasharaNakumbuka mchungaji alienifungisha ndoa alituasa sana kwenye ibada kuwa tuiache mizigo na vifurushi (kutoka nje ya ndoa) lakini baada ya muda alisimamishwa kazi kwa kugombana na mchungaji mwenzake kisa kstibu wa usharika kuhamishwa na mchungaji alikua anamla mpka kampa mimba.
Imagine mtu wa hivyo alafu anakusisitiza usizini acha dhambi kumbe yeye ndio namba moja.
Kwengine muinjilisti anawatoto watano lakini kazaa na katibu wa vijana wa usharika nq walivyo wangese ww ukifanya dhambi wanasema urudi kundini ila wao wakifanya hawarudi kundini mambo ya aibu sana
Famchezo niniii[emoji28][emoji28][emoji28] wameitana watawashambulia mnasema mungu wao loh.
Famasiara na wapendwa wewe
Biashara ya kanisa????Rose Mhando ni muimbaji bora wa muda wote ila kwa leo tupo na Rose Shaboka ambaye ni pisi kali sana kwenye biashara ya kanisa.
Ujinga umewajaaChakushangaza wanatoa sadaka Hadi za kujimaliza au kununulia watumishi magari huku wao wataombewa wapate gari na hawapewi hela so I don't understand
[emoji28][emoji28]eti wazinzi wanaokula maisha na kudaganya waumini kutoa hela zao huku waki enjoy waachwe tu. Hawa watumishi design ya Paul Mackenzie wafichuliwe tu ili kuoa jamii na uozo waoWacha wawekwe wazi ili tujifunze kupitia wao.
Muogopeni Mungu. Ukiambiwa uthibitishe kuwa ni biashara utaweza? Mkishiba mtindi kwa sembe mnaongea vitu gani sijuiNi kweli ile ni business kama zilivo biashara nyingine tu pale
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko Hawa watumishi type ya Mackenzie wafichuliwe tu ni waharibifu wa jamii na wauaji Kwa uongoAaah acha wivu basi
Watumishi wengi wataenda jehanum Tena Hawa wa miujiza ya kichawi na hawakemei dhambi ni hatariHiz Habari za makanisa zinatisha sasa,
Sisi tunajiona ni wadhambi sana kumbe huko ni kuchafu zaidi.
Sasa Caria si mpaka huyo Mabeyo akutake? Vipi kama haku feel?Namlaumu tu angel Mimi ningekimbilia Kwa mabeyo sio kwamba nampenda sana Wala nivile naangalia future ya watoto
[emoji28][emoji28][emoji28]
Wapendwa wanamakasiriko haoNa huu uchafu huu wanajificha eti wasisemwe kisa ni watumishi
[emoji28][emoji28][emoji28]huo si mfano mjini mipango wewe lohSasa Caria si mpaka huyo Mabeyo akutake? Vipi kama haku feel?
Heri kuachana kuliko kuuana!Hivi biblia haijaruhusu kuachana kweli?
Ila naona Bora kuachana kuliko kufika pabaya kisa ndoa
Yesu mwenyewe alisemwa japo hakuwahi hata kula sadaka.Ndugu usiingie kwenye mkumbo wa kuwasema watumishi wa Mungu
Dah hyo kumuogopa Mungu waambie hao wazinzi waone aibu kumtania Mungu kumbe wezi tu wakutesa maskini huku wao wachafu.Muogopeni Mungu. Ukiambiwa uthibitishe kuwa ni biashara utaweza? Mkishiba mtindi kwa sembe mnaongea vitu gani sijui