Makungwii wengi wa ndoa na washauri mahusiano ujue Yao yalishawashinda long timeEeeh[emoji1787]
Mkimbizi tena?
Kuna Clip yake ilitrend sana..
Alikuwa anasema kama mwanaume wako ni mlevi, mbaya ni huyo
Siyo wote
Kuna wanaume wazuri wapo..
Nikajuaga ndoa yake itakuwa hot sana kwa mahaba.
Kumbe ndo akaona ambwage mumewe[emoji3064]
Huyo ex mme wake unamjua?Eeeh[emoji1787]
Mkimbizi tena?
Kuna Clip yake ilitrend sana..
Alikuwa anasema kama mwanaume wako ni mlevi, mbaya ni huyo
Siyo wote
Kuna wanaume wazuri wapo..
Nikajuaga ndoa yake itakuwa hot sana kwa mahaba.
Kumbe ndo akaona ambwage mumewe[emoji3064]
Jmn unga tenaaunga
Mtu kazaa na wanaume wanne tofauti, Bado unakuja hapa watu msimseme mpakwa mafuta wa bwana. Unajua maana ya kupakwa mafuta? Yani mpakwa mafuta wa bwana anafanya uzinifu kuliko mpagani. Tuache unafiki.Ndugu usiingie kwenye mkumbo wa kuwasema watumishi wa Mungu, humu kila mtu anasema lake bila kuwa na ushahidi walio wengi wanafuata mkumbo,tukumbuke ukimsema mpakwa mafuta wa Mungu ni hatia,labda kama hamtumikii Mungu alie h
Naona umeguswa na ukweli wa mambo. Tubu dhambi zako.Upo nyuma ya keyboard unawasema wenzako kana kwamba wewe ni mtakatifu,haya unayoyaandika ulikuwepo kushuhudia?
Mungu anawashughulikia kwa kuwa expose Kama hivyo.Waombee sana kwa mzigo, usiwaseme muache Mungu ashughulike nao.
Sio kila kibaya kinachoandikwa au kusemwa kuhusu wao kina ukweli.Mungu anawashughulikia kwa kuwa expose Kama hivyo.
Nilienda kufanya intelijensia kanisani kwake.Mkuu economist wewe ulienda kwenye hilo kanisa kusali au ulikuwa na jambo lako na Shusho?
Heri watubu hafu mbona wa report comments zifutwe na mods hii kuficha Hawa watu wanaendeleza udaganyifu Kwa jamii.Naona umeguswa na ukweli wa mambo. Tubu dhambi zako.
Hata Mackenzie Kuna waliokuwa Wana mtetea na madhara yameonekana kuua watu. Hawa wanaogusa Imani za watu ni heri wajulikane tu madudu Yao ku set precedentMtu kazaa na wanaume wanne tofauti, Bado unakuja hapa watu msimseme mpakwa mafuta wa bwana. Unajua maana ya kupakwa mafuta? Yani mpakwa mafuta wa bwana anafanya uzinifu kuliko mpagani. Tuache unafiki.
[emoji28][emoji28][emoji28]Nilienda kufanya intelijensia kanisani kwake.
Ukweli upi? Angel kaolewa Mara ya pili, uongo upo wapi?. Ukishakuwa mtumishi wa Mungu acha dhambi Nani atakusema?. Ulizia mwakasege, batenzi, gamanywa, Awet etc Nani anawasem?.Sio kila kibaya kinachoandikwa au kusemwa kuhusu wao kina ukweli.
Unanijaza πππDemba mcute na younglish[emoji3590][emoji3590][emoji126]
Hawa wana akili za wafuasi wa Mackenzie za kuabudu watumishi kuliko Mungu aliye hai.Hata Mackenzie Kuna waliokuwa Wana mtetea na madhara yameonekana kuua watu. Hawa wanaogusa Imani za watu ni heri wajulikane tu madudu Yao ku set precedent
Hata hao wanasemwa pia na wengine kama wewe unavyowasema hawa wa sasa.Ukweli upi? Angel kaolewa Mara ya pili, uongo upo wapi?. Ukishakuwa mtumishi wa Mungu acha dhambi Nani atakusema?. Ulizia mwakasege, batenzi, gamanywa, Awet etc Nani anawasem?.
Wafunguliwe akili na ufahamu imagine hata bahati bukuku naye eti ni mchungajiHawa wana akili za wafuasi wa Mackenzie za kuabudu watumishi kuliko Mungu aliye hai.
Nyie ndio mnauharibu ukristo. Mnajifanya watumishi kumbe wazinzi. Biblia inasema tutawatambua kwa matendo yao sio nyimbo zao. Sasa matendo Kama kuchepuka na uzinifu ndio hayo. Hayo ni magugu ndani ya kanisa Mungu anayafichua. Tuache unafiki.Acheni kufatilia maisha ya watu,awe muimba injili,awe mtawa,mchungaji,furaha yake ni jukumu lake,usitumie watu kama rada ya maadili yako ya kidini,utakuwa unakwazika sana,
Every one deserve to be happy,kama mume wa kwanza alileta shida,akafulia unataka Binti wa watu afanyeje?
Flora mbasha,Martha mwaipaja,Shusho,wote wapo sahihi kwa maisha yao,wasihukumiwe kwa kuishi maisha yao,hawana deni na mtu kufata "maadili ya dini,live ur life,and for JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala sake,let others live their life,the don't owe you any explanation.
Ila Emma mbasha NAE muhuni muhuni yule mtoto was Vingunguti[emoji28][emoji28][emoji28]hafu huyo flora gwajiboy si ndio alitilia kitumbua Cha ndoa Yao mchanga. Hawa waimbaji watumishi Huwa ni Malaya kuliko raia wakawaida.
Kiukweli tukutane mbinguni wapendwa na tusome biblia wenyewe aisee
Pole shoga mbona Hiloiko wazi tuuGwajiboy tena? [emoji15]
Kweli napitwa na mengi[emoji1787]
Hata hata sijui.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tukae kimya ujinga ukifanyika?. Mimi nitasema kweli daima maana huu unafiki ndio unaliharibu kanisa. Juzi Kuna msanii kafunga ndoa madhabahuni kkKT Mbezi beach ana mimba ya miezi minne, tulipoongea tukaambiwa tusimseme ni Maisha yake.Hata hao wanasemwa pia na wengine kama wewe unavyowasema hawa wa sasa.
Ila sio kila kibaya kinachosemwa ni ukweli (japo vya ukweli vipo) ila vingine ni fitna tu.