Angel Benard aolewa mara ya pili

Nimekutana na hii mtandaoni; niki-calculate wanaelekea miaka 36
Inawezekana kwa sababu Nick Olevel amesoma akiwa amejitambua kabisa ilikuwa ukimcheki unajua jamaa sio dogo kabisa, ila ndio hivyo Tena. Nick a man of God tangu akiwa chini yangu, labda miaka hii baada ya kutakata noti aanze kula viporo hao akina Bernard.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…