cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Huyu angel ni limbukeni flani na mshamba hakumpenda alitaka amtumie kumpeleka huko marekani. Ila mwanaume ana moyo na huyo aliyemuoa yatamshinda mtu amezaa na wanaume watatu tofauti yeye ndio shidaMjinga Sana kamgeuka jamaa USA. Anadai kuwa anamnyanyasa kijinsia. Ila Angel Benard kamtesa Sana jamaa. Huyo Angel alikuwa anashoot video Ngorongoro ilibidi jamaa awahi kwenye shooting ili asisalitiwe. Shida akafika jioni akakuta wahuni wameshafanya ya kwao.