Angel Benard aolewa mara ya pili

Angel Benard aolewa mara ya pili

Itakuwa before hajaoa kwenye hizi harakati zao za makongomano ya injili huko ma vyuoni. Hata Rose kabla ya kuolewa naye Nick walikuwa wanamgombania wanawake I think rose ndio akamu win
Nick ALIGOMBANIWA? Na wanawake???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kristo hahusiki na hayo makanisa ya kihuni labda ungesema shetani aseme na hao watu wake.
Nilichomaanisha mkuu, Yesu aingilie kanisa lake maana linachafuliwa na watumishi feki, for how long will they continue using the JESUS NAME for their behind evil and wicked motives?! Awapige viboko tu kwa kuwafichua ili watu wafahamu Yale yaliyofichwa. By the way muda upo nao waja na umeshakaribia....
 
Hapana mmy. Hiyo haiwaondolei hadhi ya kuwa watumishi, unafikiri Mungu aliyewaita hakuona haya?
Mungu kawaita wapi sasa?,Wao ndo wamekamata fursa.Eti Mungu kawaita hizo banc account number wanaweka za nini?Mpesa sijui Airtel money.Mungu angewaita kweli wangesubiri waumini wajitolee wenyewe kuwapa hela na si kila siku kusisitiza tuma sadaka yako Mpesa .......
 
Unajua waliwahi tengana miaka 5 wanaishi nyumba moja ila vyumba tofauti.Mimi nilikuwa ninasali nao Tabata na Shusho mme ndo alikuwa mchungaji kiongozi pale.Walivyorudiana hadi kanisani ilitangazwa,ila walirudiana wakaishi/kulala chumba kimoja kama miaka 3 tu nadhani,ndo wamekuja tengana tena safari hii Tina Shusho kahama kabisa nyumba. Ndo hii almost miaka 3 wanaishi nyumba tofauti,kila mmoja ana kanisa lake.Kumbuka Mchungaji Shusho mwanaume alihama Tabata kanisani ili kumfuata Tina mkewe kwenye kanisa lake Tina pale Manzese. Ndo huko wamekwenda kutofautiana Mme akaondoka kuanzisha kanisa lake tena. Yaani maisha yao hawa unaweza andika script, movie ikauza sana.Jamani Tumjue Yesu kiroho na si kuwafuata hawa binadamu maana wengine hata dhambi wanatuzidi.
Halohalo ya tina shusho..namfatiliaga sana youtube ....hatak shidaaa
 
Ana mahubiri mazuri mno mno....mimi sipend mahubiri ya kutishana tishana Yesu anakuja blabla za kutishana.huyu anahubiri reality...kama una msongo wa mawazo unakoma na kuwa mzima
Binafsi siku hizi mimi ninasoma sana biblia,nilishaachana na mahubiri kabisa. Huwa ninasikiliza mahubiri kanisani ninakosali.Ila hawa wengine wenye mahubiri huyo YouTube ambao wanaonyesha account no,mpesa, tige pesa, airtel money huwa siangalii kabisa yaaani.Mimi mwenyewe nimeamua kuzungumza na Mungu wangu kwa Maombi na kusoma Biblia.Na mambo yangu yanafanikiwa kabisa yaani.
 
Binafsi siku hizi mimi ninasoma sana biblia,nilishaachana na mahubiri kabisa. Huwa ninasikiliza mahubiri kanisani ninakosali.Ila hawa wengine wenye mahubiri huyo YouTube ambao wanaonyesha account no,mpesa, tige pesa, airtel money huwa siangalii kabisa yaaani.Mimi mwenyewe nimeamua kuzungumza na Mungu wangu kwa Maombi na kusoma Biblia.Na mambo yangu yanafanikiwa kabisa yaani.
Na ndivyo inavyotakiwa kuongea na Mungu wako direct..sio kumpa shida mchungaji sijui nabii...thats nice
 
Back
Top Bottom