Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Martha kaachika linikwa hiyo anaunga tela kwa Martha Baraka, who is the next?
Modes watuanzishie walokole forum plz tuwe tunapiga ubuyu wetu huko, maana mambo yetu yashakuwa mengi walaaaNaona huu ni uzi wa walokole…
Hao wanaotajwa humu sijawahi kumsikia hata mmoja!!
Yupo hai, Tena yeye ndio kampeleka marekani. Wote wanaishi marekaniitakuwa mume wake wa kwanza alifwariki
Hata mimi nashangaa, sijui uwa ana bahati mbaya gani kwenye mahusiano, nimjuavyo Angel ni mpole na very caring, beautiful and highly annointed, ni Moja ya watu walionifanya nivutiwe na maisha ya wokovu, katumika pia kuponya maisha ya kimahusiano ya wengi, si kitu shetani anapendaHuyu anaonekana mke mwema hana mambo ya 50/50, sijui jamaa wa kwanza alifeli wapi?
Hatari. Wa kwangu pia mimi mtupu.Mungu anawaumbua
Eeh ila watu mnakuwaga na information aiseeeNick hakuwa amempenda Rose , jamaa alikufa akaoza kwa Angel, Rose alipambana sana kumrudisha Nick kutoka kwa Angel yan walikuwa wapo kwa process za ndoa, shela ishaagizwa kabisa vikao vinamalizikia, Then boom, Nicki akabadilisha gia angani ,unaambwia bidada Rose alifunga na kuomba siku 40 pia mama wa Nicki hakumtaka Angel kwahyo hapo wakasaidizana na Rose kumtoa Angel kwa Nicki, mwisho vita ikamshinda Angel mwishoni mwishoni mwanaume akaingia mtini japo anampenda.
Exactly.Hata mimi nashangaa, sijui uwa ana bahati mbaya gani kwenye mahusiano, nimjuavyo Angel ni mpole na very caring, beautiful and highly annointed, ni Moja ya watu walionifanya nivutiwe na maisha ya wokovu, katumika pia kuponya maisha ya kimahusiano ya wengi, si kitu shetani anapenda
Rose mwenyewe anasema haikuwa rahisi mahusiano Yao ila raha ya ndoa mwanaume akupende sio wewe u force na hyo ndoa rose ndio huibeba zaidiNick hakuwa amempenda Rose , jamaa alikufa akaoza kwa Angel, Rose alipambana sana kumrudisha Nick kutoka kwa Angel yan walikuwa wapo kwa process za ndoa, shela ishaagizwa kabisa vikao vinamalizikia, Then boom, Nicki akabadilisha gia angani ,unaambwia bidada Rose alifunga na kuomba siku 40 pia mama wa Nicki hakumtaka Angel kwahyo hapo wakasaidizana na Rose kumtoa Angel kwa Nicki, mwisho vita ikamshinda Angel mwishoni mwishoni mwanaume akaingia mtini japo anampenda.
Rose mwenyewe anasema haikuwa rahisi mahusiano Yao ila raha ya ndoa mwanaume akupende sio wewe u force na hyo ndoa rose ndio huibeba zaidi
Kwakweli ndoa ya kupambania uwa ngumu sana, yule dada sio mtu wa kukubali kushindwa inaweza kuwa sifa nzuri ila mbaya wakati mwingine, hata design ya maombi yake ni ya kuforce force hvi yan lazima Mwaka huu Mungu atende, ana hizo sana.
sasa mambo ya mapenzi bwana ukitaka ujichoshe wewe force, hasa kwa mwanaume yan mwanaume wa kumforce anatesa sana, wa kukupenda kwa hiari tuu anatesa sasa fikiria wa kuforce.
Ndio maana Rose hana amani na yule mume ni Mkali kwa kondoo warembo wanaoleta mazoea na baba mchungaji yan ni kama hajiamini Amini mume mwenyewe ilikuwa kila wakigombana anarudi na mtoto, afu akakuoa kwa ku force aiseeeeee ni mateso lazima uwe mgambo hata ingekuwa mimi.
Acha kulazimisha uovu kwa kichaka Cha hukumu. Unajua maana ya kuhukumu. Kuhukumu ni kutoa hitimisho nani aende mbinguni na nani aende motoni jehanamu. Hiyo nguvu anayo Mungu tu na mwanadamu hawezi. Kuanika maovu sio kuhukumu Bali kujaribu kuliweka kanisa sawa. Iwapo tutaruhusu dhaHuo ni upeo wako wa kuona mambo,acha kuhukumu watu hukumu ni juu ya Mungu.
Hizi posts zinaonyesha wewe ni Stress Challengerhii imekaa vizuri..Sasa unaonaje na mimi na wewe tukijiunga kwa pamoja tufanye ya kwetu na sisi?
Nani huyoMtu kazaa na wanaume wanne tofauti, Bado unakuja hapa watu msimseme mpakwa mafuta wa bwana. Unajua maana ya kupakwa mafuta? Yani mpakwa mafuta wa bwana anafanya uzinifu kuliko mpagani. Tuache unafiki.
Hahaaa wewe unanikumbusha nilikua naongea na washkaji kua sku zote tunawalaumu mabinti warembo kua hawajatulia ila sababu wanapata vishawishi vingi ,na wengine tunawasifia kua wametulia kumbe hawapati vishawashi pengine wangepata vushawishi maji ni mara mojahawa mabinti wazuri na warembo huwa wahanga wa kufukuzwa makanisani mwao kutokana na kashfa za kimapenzi. Lakini wale wabaya wenye sura ngumu wasiojiremba huwa hawakutani na mikasa ya kutengwa au kufukuzwa kutokana na jinsi walivyo, hawavutii